[emoji23][emoji23]Naenda kumchukua Dura!
Wote nyie mna mawigi hata mkigombana hakina mtu atavutwa nywele aumie.Unataka kutuchonganisha eeh! Nimeshakushtukia
[emoji23][emoji23]Wote nyie mna mawigi hata mkigombana hakina mtu atavutwa nywele aumie.
Waongo tuu haooNdio Habari zilizopo huku mtaan Bi Mother
[emoji23][emoji23]
Hivi dura alikurudishia mwanamke wako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wa kuchapwaa vibokoo tuEtiiii..hawajui sisi ni mtu mmoja
Us ..USA River ya Arusha!!?Nipeleke US kuna mchepuko wangu huko.
[emoji23][emoji23]
Na hatuwezi gombana eti
Dugu yagu umeadika kwa huzuni sana.dura Mugu anamuona[emoji17][emoji17][emoji17] Ni story ndefu ndugu yangu.
Sasa Si bora uludishe majeshi kwa mzee Baba jamanWaongo tuu haoo
Mie nipo single and happy...
Us ..USA River ya Arusha!!?
Sawa hapo hata kwa teke unaenda
Hahaha hahaha
Nuna tuu, familia tununiane wote
Kwa unene gani tushindwe kuinuka !? Vibonge wepesi sieHamgombani kwa vile mnajua mkiangushana chini hamtaamka kwa sababu ya unene wenu.
Pole mno shemelaKazi zimenibana shemela,ukizingatia na mama JJ yupo likizo ndio full kuchoka
Hacha tu?Dugu yagu umeadika kwa huzuni sana.dura Mugu anamuona
Waongo tuu haoo
Mie nipo single and happy...
Haha caught in action [emoji848]Amepatia kweli
[emoji23][emoji23][emoji23] Bye ngoja nipeleke magauni ya watu.Kwa unene gani tushindwe kuinuka !? Vibonge wepesi sie