Battle: Shunie Vs Mzigua90

Wanawake wazuri ni ngumu kuspend Muda JF, wapo insta na Fesibuku, while those ambao ni smart wapo Twitter, Humu JF ni wambea na walioletwa na matatizo.. Remember to EVERY GENERAL RULE THERE IS AN EXCLUSION!

Khan
Sawa tumekuelewa.
Ila kwa walio insta na Facebook ambao wengi ni slay queens usitegemee mtu kama huyo kuijua JF. Mtu anachotaka kujua ndicho kitampeleka mahali fulani. Niliijua JF kupitia Google wakati niko chuo. Slay queen anachotaka kujua ni danga gani liko kwenye chat mjini nguo gani iko kwenye trend. Viatu pochi n.k. huyo usitegemee ashinde JF kwanza hata kuijua sio rahisi maana google tu hawajui kuitumia.
Japo JF kuna watu wenye changamoto zao ila hata uelewa wao hauwezi lingana na slay queens wa insta na snapchat
 
Probably unaweza ukawa sawa.. But still naamini JF hakuna wanawake wazuri kama jinsi wanaume tunavyo imagine.. Wengine wanatafta Companionship huku kwa sababu in real life si wa kuvutia kihivyoo.. So Id's zinawasaidia.. By the way mwanamke Kutumia JF ni mwanzo wa kuwa Smart kama atakua anatumia Jukwaa hili vema.. Ila kama atashinda MMU na Jukwaa zingine zenye kufanana na hilo basi hana tofauti na wale IG na FB.. Remember TO EVERY GENERAL RULE THERE IS AN EXCEPTION!

Khan
 
Mbona wengi wameshajua huku tuko wenye sura za baba zetu lakini. Ndo maana wakikutana na wazuri wanashangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Aww..mzigua is kinda good,.innocent i can say but shunie??

Shunie is dirty bt still good tho.

So i go wit mzigua,..yeeiy
 
Mbona wengi wameshajua huku tuko wenye sura za baba zetu lakini. Ndo maana wakikutana na wazuri wanashangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ahahaaha.. Huenda.. But uzuri wanaume si wote wanaoangalia uzuri wa sura..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…