Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Swagz za MMU?Waje siasani waone kazi.Ila wote nataka niwaoe wasaidiane na mama Wakuru kunipikia maakuli.Afu hua kama wanafanana swagz
Kwani siasani kuna nini cha maana zaidi ya upande mmoja kupinga kila kitu na upande mwingine kuunga mkono kila kitu?Swagz za MMU?Waje siasani waone kazi.Ila wote nataka niwaoe wasaidiane na mama Wakuru kunipikia maakuli.
Wanapinga na kukataa kwa akili.Sasa kufundisha mtu kuchanua miguu kuna hitaji nini?Kwani siasani kuna nini cha maana zaidi ya upande mmoja kupinga kila kitu na upande mwingine kuunga mkono kila kitu?
Hamna akili yoyote. Huyu akiwa upande huu anapinga Tu na huyu akiwa upande ule anapinga Tu. Hamna akili yoyote inayotumika siasani.Wanapinga na kukataa kwa akili.Sasa kufundisha mtu kuchanua miguu kuna hitaji nini?
ila espy unampenda zaidi![emoji16][emoji16][emoji16]Nawapenda wote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya kwa kina Mzigua90 huko Tanga unaweza usirud ulipotoka ukifanya mchezo unaletewa chakula kinanukia vizuri hatari halafu kimefunikwa kawa limeandikwa "USISHIBE SANA CHAKULA KINGINE KIPO KITANDANI"
Usijali siku ingine utashindanishwa wewe.Haya mambo ya kulinganisha watu mi ndo siyataki kabisa
Usijali siku ingine utashindanishwa wewe.
nawapenda wote.. mmoja ni dada yangu mwingine nampenda sana na namtaka sema ananipiga dana dana
abeeee!
Saaaaana![emoji16][emoji16][emoji16]dogo umenimiss?
Kati ya wawili hawa kuna mmoja ni bibi bomba balaa...
heri ya sikukuuSaaaaana![emoji16][emoji16][emoji16]