wasaa9
JF-Expert Member
- Jun 9, 2017
- 566
- 209
Am hip hop fans from all over the world, kwa Tanzania ukiachana na fid q, mwanafa, niki wa wote na wengne kibao KUna wanasanii hawa wawili, young killer na yangi d almost watatu iv lkn huyu wa tatu ambaye ni dogo janja (janjaro wa ngalenaroo. ) naachana nae coz ameupiga chini music hip hop na kusema huna pesa
Swali langu: nani unamkubal zaidi kwa michano, swaggz, na maendeleo ktk music kati ya young killer na young dar es salaam
Swali langu: nani unamkubal zaidi kwa michano, swaggz, na maendeleo ktk music kati ya young killer na young dar es salaam