Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Mmmh . . . .
Mmmh . . . . .
Jamani hivi humu hatuna watu wa kuuza sura na akina uwoya?
Cc: miss strong, Heaven on earth in my heart,..!! Asnam, Avemaria, na wengineo!
Jamani hivi humu hatuna watu wa kuuza sura na akina uwoya?
Cc: miss strong, Heaven on earth in my heart,..!! Asnam, Avemaria, na wengineo!
mmmh mwenzangu, mi hii sura ka gimbi lisomenywa . . namuuzia nani besti?? hihiiiihiiiiiii
Labda hao wenzangu!
miss strong, Heaven on earth na Asnam. . . . . . mkuye huku aiseee mnakaribia kupewa deal!
minofu me soon naachia kitu changu hewani..we kaa mkao wa kulaJamani hivi humu hatuna watu wa kuuza sura na akina uwoya?
Cc: miss strong, Heaven on earth in my heart,..!! Asnam, Avemaria, na wengineo!
Naona wewe dhana ya " KUAJILI WENZAKO HAUNA/HAUIFAHAMU KABISAA"
hahaaa Avemaria mie nipo kwenye mpango wa kutoa movie yangu mpya
ndo niko lokesheni ila directa mimi,producer mimi script mimi.......editor mimi.main actor mimi
ndio reality ya BONGO MOVIES hiyo.......
Kibongobongo hii inawezekana sana na ndo maana movie hazina viwango bora.
Haswaa.
mmmh mwenzangu, mi hii sura ka gimbi lisomenywa . . namuuzia nani besti?? hihiiiihiiiiiii
Labda hao wenzangu!
miss strong, Heaven on earth na Asnam. . . . . . mkuye huku aiseee mnakaribia kupewa deal!
Batuli weeee, mbona unaguna dearest??
Ujue kuja hapa sio bure, ni Bwana tu. LOL
Undugu kufaana chipenzi.
karibu sana
ntatafuta filam zako nikuone
BATULI... Mbona hujibu pm yangu?
Nataka nitokelezee kwene ka kioo nikiwa na Heaven on earth...!
Teh teh! Akiwa kama mke wa jambazi kuu!