Batuli Actress aka Cleopatra Nabisha Hodi

Karibu batuli wa kanumba. Ila usikasirike kwa maudhi ya watu humu ndan.
 
BATULI kumekuwepo na wimbi la wasanii kufa wakiwa maskini pengine kinyume na matarajio ya watanzania.

Na wasanii utupata lawama zote kwa serikali kana kwamba hawapati chochote kabisa kwenye kazi zao na huku tukiwaona wanaishi maisha ya anasa huku wa kibadili magari kila leo tena kwa kushindana.


Hivi unafikiri ni haki kabisa lawama zote kutupiwa serikali?

Nini tatizo kwa wasanii wetu?
 
Last edited by a moderator:
Salaam sana wana Jamiiforum

Nimeona ni vema nami nijiunge JF ili kuweza kujifunza mengi na kupata mawazo mbalimbali ya kimaendeleo na ya kujenga.

Mimi ni Actress wa Filamu za Kitanzania.

Asanteni sana.
Karibu dada!karibu,nimependa ujasiri wako na be warned hatutafuni maneno humu!utapongezwa ,utatiwa moyo,utaungwa mkono,utakosolewa ,utasemwa.utafokewa,utasimangwa!
Usiseme sijakwambia japokuwa kwa mujibu wa waifu wewe uko poa tu,pokea pongezi yangu ya mwanzo !
 
Ila nimekukubali ndugu kwa kurespond maswali ya wadau. keep it up mpendwa.
Pia nimegundua kuwa tangu ujiunge jf,sasa ni kama unakesha humuhumu (may be unapunguza machungu ya kutokuwemo humu,na sijui hauendi location (just joking).
Ila nimebahatika kutazama ile filamu mlocheza na Marehemu Kanumba na Richard wa BBA,ni nzuri aisee,HONGERA SANA KWA YOTE MEMA UYAFANYAYO.
 

Asante sana. Pia asante kwa observation yako.
 
aisee hebu nipe script nianze kuisoma....!

sasa ole wako, director uwe wewe, producer wewe, light man wewe, jambazi wewe, makeup wewe na usambazaji wewe!!!

Fanya yote ila mimi ndo nitakuwa Mr.Steps entertainment a.k.a mdosi. You can call me destributor mnyonyaji.
 

cc: BATULI aka cleopatra usiruke ruke mjibu mwenzio hoja yake
 
Last edited by a moderator:
Karibu Jf Were we dare to talk Freely.....

ila sijakufaham vizuri may be ni ufuatiliaji wangu mdogo wa Bongo Movies

Hazina mvuto zaid ya kuuza sura ndio maaana hauna hbr nazo,lkn nae nadhan anataka jiondoe ktk umasikini tuuu
 
Karibu na uwe balozi mzuri wa Jf,uwashirikishe wadau,nina imani watakusaidia kwa namna ama nyngne ktk harakati zako za kujiondolea umasikin,uwe actress mkubwa kama waliokutangulia,u
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…