Batuli naye adai yupo tayari kucheza movie yeyote ya utupu

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
MWANADAFADA mkali wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa kwa sasa yupo tayari kuigiza nusu utupu kwa sinema za nje ya nchi.
Akipiga stori mbili-tatu na kona hii, Batuli alisema kuwa muvi nyingi Bongo huwa zinafungiwa kwa kukosa maadili na kwamba kama ikitokea nafasi akaitwa nje ya nchi kuigiza sini hizo, atakuwa tayari.
“Zamani nilikuwa nikiogopa kuigiza nusu utupu. Wenzetu Nigeria wameendelea na ndiyo maana wanaigiza hata nusu utupu, kama itatokea nafasi ya kuigiza huko (nje ya Bongo) nusu utupu, nipo tayari,” alisema Batuli.

 
fools rush in where angels fear to tread
 
Nimemdharau gafla mtoto wa kiislam
 
Amtafute Mandingo kama anataka ya utupu.
 
Dogo kuwa na adabu, mimi na picha za utupu wapi na wapi? Tuheshimiane tafadhali

Wewe si ulikuwa unaomba mechi ya majaribio umu jf baada ya kutahiriwa .haya baturi huyo
 
Sasa kwani kucheza mechi ya majaribio ndio kucheza movie za uchi?

mimi nitadhamini mechi hiyo kisha tutauza south america na nchi za ulaya kisha tutasema nyie ni black america hivyo haitavuja kivile? uko tayari kwa hiyo bznes ni mtafute Batuli
 
mimi nitadhamini mechi hiyo kisha tutauza south america na nchi za ulaya kisha tutasema nyie ni black america hivyo haitavuja kivile? uko tayari kwa hiyo bznes ni mtafute Batuli

Nani kakwambia Mimi ni black?


Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
 
mimi nitadhamini mechi hiyo kisha tutauza south america na nchi za ulaya kisha tutasema nyie ni black america hivyo haitavuja kivile? uko tayari kwa hiyo bznes ni mtafute Batuli

Poa tu, anza kufanya maandalizi ya mechi, ajiandae na 0713


Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…