Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio taarifa mpya iliyosambazwa na Bavicha kwa vyombo vya habari , ambapo imetajwa kwamba Mkutano huo utafanyika , Kinondoni Mtaa wa Ufipa. Nje kabisa ya Jiji la Dar es Salaam .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kututegea sikioWanaenda kujibu kwani waliulizwa maswali?
Katambi kishakalia kuti kavuBAVICHA hawana lolote, LABDA KAMA WANA TAKA CHEO TU KAMA patrobas katambi.
nguzo ya ccm ni vijana duni kama weweTutamlipa mwenyekiti hela kwa ajili ya kufanyia mkutano hapo au ndo atakuwa anakata kidogo kidogo kupitia ruzuku ya chama?
Pambalu, huna ubavu wa kutunishiana na Kheri James - okoteni makopo hukoHii ndio taarifa mpya iliyosambazwa na Bavicha kwa vyombo vya habari , ambapo imetajwa kwamba Mkutano huo utafanyika , Kinondoni Mtaa wa Ufipa , Nje kabisa ya Jiji la Dar es Salaam .
View attachment 1737984
Nani kaomba radhi na kwanini ?Pambalu, huna ubavu wa kutunishiana na Kheri James - okoteni makopo huko
Kwani umeitwa?Wanaenda kujibu kwani waliulizwa maswali?
Mambosasa hana mambo sasa rais wake si kafaMambosasa ana taarifa? Msije mkakumbana na TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA zinaonesha kutakuwa na uvunjifu wa Amani! Amri kutoka juu.