BAVICHA kuongea na Wanahabari Makao Makuu ya Chadema Kinondoni, Nje ya Jiji la Dar es Salaam

BAVICHA hawana lolote, LABDA KAMA WANA TAKA CHEO TU KAMA patrobas katambi.
 
Wamepata kiki ya kutokea...BAVICHA bhana!!
 
Tutamlipa mwenyekiti hela kwa ajili ya kufanyia mkutano hapo au ndo atakuwa anakata kidogo kidogo kupitia ruzuku ya chama?
 
Hahahahahah kila mtu anaanza kufurukuta sasa ajulikane yupo
 
Mambosasa ana taarifa? Msije mkakumbana na TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA zinaonesha kutakuwa na uvunjifu wa Amani! Amri kutoka juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…