johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa Chadema Mbowe amesema Katika nafasi zote za uongozi pale Chadema hakunaga Ukomo wa Uongozi
Lakini mimi nafahamu Bavicha Wana Ukomo Kwa kigezo Cha umri na hii siyo Sawa
Umri wa Kijana kibiblia ni miaka 60 mwisho japo juzikati JK alisema hata UN Kwa Viwango vya sasa miaka 70 ni Kijana
Ili kuitendea haki Demokrasia John Pambalu aruhusiwe kutetea KITI chake pale Bavicha
Mlale Unono 😀
Lakini mimi nafahamu Bavicha Wana Ukomo Kwa kigezo Cha umri na hii siyo Sawa
Umri wa Kijana kibiblia ni miaka 60 mwisho japo juzikati JK alisema hata UN Kwa Viwango vya sasa miaka 70 ni Kijana
Ili kuitendea haki Demokrasia John Pambalu aruhusiwe kutetea KITI chake pale Bavicha
Mlale Unono 😀