Pre GE2025 BAVICHA Mbeya: Tunamtaka Amani Manengelo aliyotoweka arudishwe akiwa mzima, tusije tukavuka mstari ambao hatutaki kuuvuka

Pre GE2025 BAVICHA Mbeya: Tunamtaka Amani Manengelo aliyotoweka arudishwe akiwa mzima, tusije tukavuka mstari ambao hatutaki kuuvuka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
"Nitoe wito kwa OCD Misungwi, nitoe wito kwa RPC Mwanza, nitoe wito kwa Waziri wa mambo ya ndani, na nitoe wito kwa anayefanya kazi ya kuteua hao wote, Amiri jeshi mkuu ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nitoe wito kwamba maisha na uhai wa mtu mmoja unafaa kuwa na thamani kubw ana kulindwa kwa gharama kubwa kwa gharama yoyote kwa ajili ya usalama wa nchi. Tazameni mataifa mengine jinsi yanavyojali na kulinda uhai wa mtu" - Chonya Elisha, Mwenyekiti wa BAVICHA Mbeya


Soma: Pre GE2025 - Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi
Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
"Nitoe wito kwa OCD Misungwi, nitoe wito kwa RPC Mwanza, nitoe wito kwa Waziri wa mambo ya ndani, na nitoe wito kwa anayefanya kazi ya kuteua hao wote, Amiri jeshi mkuu ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nitoe wito kwamba maisha na uhai wa mtu mmoja unafaa kuwa na thamani kubw ana kulindwa kwa gharama kubwa kwa gharama yoyote kwa ajili ya usalama wa nchi. Tazameni mataifa mengine jinsi yanavyojali na kulinda uhai wa mtu" - Chonya Elisha, Mwenyekiti wa BAVICHA Mbeya
View attachment 3242821

Soma: Pre GE2025 - Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi
Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Nchi ya kipumbavu sana
 
"Nitoe wito kwa OCD Misungwi, nitoe wito kwa RPC Mwanza, nitoe wito kwa Waziri wa mambo ya ndani, na nitoe wito kwa anayefanya kazi ya kuteua hao wote, Amiri jeshi mkuu ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nitoe wito kwamba maisha na uhai wa mtu mmoja unafaa kuwa na thamani kubw ana kulindwa kwa gharama kubwa kwa gharama yoyote kwa ajili ya usalama wa nchi. Tazameni mataifa mengine jinsi yanavyojali na kulinda uhai wa mtu" - Chonya Elisha, Mwenyekiti wa BAVICHA Mbeya
View attachment 3242821

Soma: Pre GE2025 - Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi
Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Safi sana vijana. Nyie ndo aina ya Vijana mnaohitajika nchi hii.
 
Safi sana vijana. Nyie ndo aina ya Vijana mnaohitajika nchi hii.
hapo ndiyo amemaliza hana cha kuongea zaidi ya hicho hana cha kufanya zaidi ya hicho kama ana juwa aliko aende akatoe ushahidi ili polisi wafanyie kazi sasa kumwambia rais yeye ndiyo mlizi wahuyo bavicha wenu mtu katoweka siku ya valentin kafichwa na limwanamke huko nyie mnaleta ujinga hapa
 
hapo ndiyo amemaliza hana cha kuongea zaidi ya hicho hana cha kufanya zaidi ya hicho kama ana juwa aliko aende akatoe ushahidi ili polisi wafanyie kazi sasa kumwambia rais yeye ndiyo mlizi wahuyo bavicha wenu mtu katoweka siku ya valentin kafichwa na limwanamke huko nyie mnaleta ujinga hapa
Mashoger ya ccm akili zenu zimeamia kwenye vinyeo vyenu!!. Mtu mwenye akili timamu hawezi kutoa ushuzi kama wako.
 
"Nitoe wito kwa OCD Misungwi, nitoe wito kwa RPC Mwanza, nitoe wito kwa Waziri wa mambo ya ndani, na nitoe wito kwa anayefanya kazi ya kuteua hao wote, Amiri jeshi mkuu ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nitoe wito kwamba maisha na uhai wa mtu mmoja unafaa kuwa na thamani kubw ana kulindwa kwa gharama kubwa kwa gharama yoyote kwa ajili ya usalama wa nchi. Tazameni mataifa mengine jinsi yanavyojali na kulinda uhai wa mtu" - Chonya Elisha, Mwenyekiti wa BAVICHA Mbeya
View attachment 3242821

Soma: Pre GE2025 - Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi
Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Huyo nyumbu anatafuta kiki, sasa huyo nyau atavuka mstari gani. Nyumbu kwl ni zero brain. Huyo lofa wao inawezekana amejiteka, au yuko kwa mchepuko. Malofa kwl
 
Mashoger ya ccm akili zenu zimeamia kwenye vinyeo vyenu!!. Mtu mwenye akili timamu hawezi kutoa ushuzi kama wako.
We una uvundo nenda kaharishe, chadema ni mazombie yanayotumia makalio kureason
 
"Nitoe wito kwa OCD Misungwi, nitoe wito kwa RPC Mwanza, nitoe wito kwa Waziri wa mambo ya ndani, na nitoe wito kwa anayefanya kazi ya kuteua hao wote, Amiri jeshi mkuu ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nitoe wito kwamba maisha na uhai wa mtu mmoja unafaa kuwa na thamani kubw ana kulindwa kwa gharama kubwa kwa gharama yoyote kwa ajili ya usalama wa nchi. Tazameni mataifa mengine jinsi yanavyojali na kulinda uhai wa mtu" - Chonya Elisha, Mwenyekiti wa BAVICHA Mbeya
View attachment 3242821

Soma: Pre GE2025 - Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi
Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
kamtu kenyewe sasa kanakovimba dah!🐒
 
Jamaa alikuwa kwa mchepuko na kuna issue ya pesa za mtandao.Watu watatu wanaisaidia polisi kwenye uchunguzi. HUYU mvimba macho anajitokeza kuvimbisha shingo kama mbuni bila kujua kinachoendelea.Hiki chama kila mtu ni kambale.
 
Mashoger ya ccm akili zenu zimeamia kwenye vinyeo vyenu!!. Mtu mwenye akili timamu hawezi kutoa ushuzi kama wako.
nendeni mkamtafute wenyewe jamaa yenu kafichwa na demu acheni kusumbua tuna mambo mengiu ya kufanya kwenye hili taifa siyo kujbizana na mashger kama wewe
 
Watekaji waniangalie sana.wakiendekea Hawa ccm na magenge Yao ya uhalifu tutafanya kama wanavyofanya M23 kule DRC
 
"Nitoe wito kwa OCD Misungwi, nitoe wito kwa RPC Mwanza, nitoe wito kwa Waziri wa mambo ya ndani, na nitoe wito kwa anayefanya kazi ya kuteua hao wote, Amiri jeshi mkuu ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nitoe wito kwamba maisha na uhai wa mtu mmoja unafaa kuwa na thamani kubw ana kulindwa kwa gharama kubwa kwa gharama yoyote kwa ajili ya usalama wa nchi. Tazameni mataifa mengine jinsi yanavyojali na kulinda uhai wa mtu" - Chonya Elisha, Mwenyekiti wa BAVICHA Mbeya
View attachment 3242821

Soma: Pre GE2025 - Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi
Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ccm wanatekwa vijana wa CHADEMA na kuwatoa kwa mtindo wa sadaka za kuteketeza.
 
Back
Top Bottom