BAVICHA msiwe wavivu,msiwe kama wao. Jukumu la kupeperusha bendera ni letu si lakukodi watu

BAVICHA msiwe wavivu,msiwe kama wao. Jukumu la kupeperusha bendera ni letu si lakukodi watu

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
BAVICHA kazi zetu za kila siku za SIASA na UJENZI wa CHAMA zianze kufanywa na WAFUNGWA?,

Hata mwenyekiti akitutenga na kuteua kutoka CCM sisi tusikubali kugoma na kuwaachia wazee wakakodi wafungwa.

Jukumu la kukijenga chama na kupeperusha bendera za chama hai Cha siasa ni la vijana.

Suala la kukodi watu wakulia msibani tuwaache UVCCM. Tutengeneze vijana wengi wakaajiriwe huko kwao wawatumikishe.
 
Ama kwa hakika CCM imebaki kuwa sikio la kufa....
 
Kwa kauli hizi ni wakati wa Umma kuingia barabrani tu
 
BAVICHA kazi zetu za kila siku za SIASA na UJENZI wa CHAMA zianze kufanywa na WAFUNGWA?,

Hata mwenyekiti akitutenga na kuteua kutoka CCM sisi tusikubali kugoma na kuwaachia wazee wakakodi wafungwa.

Jukumu la kukijenga chama na kupeperusha bendera za chama hai Cha siasa ni la vijana.

Swala la kukodi watu wakulia msibani tuwaache UVCCM....Tutengeneze vijana wengi wakaajiriwe huko kwao wawatumikishe.
😆😆😆
 
Ufipa wanaweweseka wakilala wakiamka wanaiwaza CCM, mtaiwaza sana CCM mpaka mtazeeka, CCM baba Lao [emoji23][emoji1787]
 
Mwenzenu huyo hata kutaja mwaka alio tumikia ccm unamshinda.
Mkuu toka lini mtu Mzima akahangaika na mfu. Kutesska kwako Ni dalili mtu Yuko hai na Ana madhara.
 
Tatizo la Wanasihasa wa upinzani hasa Chadema ni kuwaza kwa kutumia Bichwa la msanii na mfanyabiashara wa siasa Mbowe!!

Mnawaza nafasi ya Urais tu wakati ubunge Hanna hata 20% ya wabunge wa Tanzania .
Isitoshe Zanzibar chadema haina hata Diwani au sheha.

Badala ya kuwaza Namna ya kukabiliana na CCM na kupata hata madiwani wengi mnawaza kuzuia wanachama wenye sifa na uwezo kuliko Mbowe.

Hivi ni mtu gani mwenye akili timamu kama Zito atamkataa Mtanzania na Jasusi kama Membe asijiunge na Chama chake akagombea urais?

Hivi Chadema siku hizi kikekosa watu wenye akili au wote waliondoka na Zito Kabwe na Slaa?

Membe mtu aliyebobea kidiplomasia dunia nzima halafu unajadili suala la kupokelewa na kugombea Urais?

Ndio maana naichukia sana Chadema ya Mhuni na Mlevi Mbowe, amejenga Chama cha kishenzi na kibaya kuliko CCM. Urais sio wa Chama ni wa watanzania wote. Uenyekiti ndio wa kwenu huko Chadema.

Mnatuletea lichama lenye malengo yale Yale ya CCM ya kuweka mbele maslahi ya Chama badala ya Taifa.

Watanzania wakimchagua Membe atakua kiongozi wa nchi sio Chama hivyo hatuna sababu ya kumzuia kujiunga na Chama na kisha kugombea!
Ni katiba tu imekaa vibaya kwa sababu ya watu wanaotukuza vyama kama alivyo Mlevi mkuu Mbowe na Genge la wenzake akina Nasara.

Urais mtanzania yeyote akipitia chama chochote haina shida mana tunachotaka ni mipango yake na maono yake na uwezo wake wa kujieleza ni jinsi gani ataiongoza nchi yetu na sio chama kuleta mabadiliko yatakayojenga usawa katika nchi.

Chadema imeshakufa na Membe hawezi kujiunga na chama kinachoongozwa na Mlevi na Mhuni anayekesha baa na wanawake mpaka SAA kumi za usiku.

ACTwazalendo ni chama Mbadala mana kina uongozi mzuri unaoheshimu taratibu na haki za mwanachama .
 
...Kama kweli "amebobea dunia nzima" kwann mumemzuia kugombea huko kwenu??
 
Back
Top Bottom