Bavicha ndio Taasisi Pekee ya Vijana Tanzania inayojiandaa na Siku ya Vijana Duniani

Bavicha ndio Taasisi Pekee ya Vijana Tanzania inayojiandaa na Siku ya Vijana Duniani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mara zote tumeandika humu na kwingineko kwamba BAVICHA ndio Taasisi pekee inayojishughulisha na Masuala ya Vijana nchini Tanzania kwa vitendo kabisa.

Pamoja na kwamba Dunia nzima kwa sasa inajiandaa na Siku ya Vijana Duniani ambayo itaadhimishwa 12/8/2022 , lakini hakuna Juhudi zozote za Serikali ya CCM wala Taasisi yake yoyote inayohangaika na Jambo hili, Wao wamekazana KUHUJUMU USAILI WA SENSA, ili wapate hela za kujikimu, Wamesahau kabisa kwamba VIJANA NDIO KUNDI KUBWA NA LENYE NGUVU NCHINI MWAO, vijana wana nguvu kichwani na wana nguvu za mwili pia, unawezaje kupuuza kundi kama hili?

Pichani ni viongozi wa Taasisi bora ya vijana Barani Africa, Wakiratibu na kupanga mipango ya Kidunia ya vijana katika maandalizi ya siku ya vijana.

FB_IMG_1658670476188.jpg
 
Uvccm wako bize na uchawa ili wapewe teuzi..hawajawahi kuwa na ajenda ya vijana wa nchii zaidi ya kukopa matukio ya kitaifa kama uchaguzi..sensa n.k

Wengi ni akili ndogo sana pia njaa zao nimehamia kichwani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mara zote tumeandika humu na kwingineko kwamba BAVICHA ndio Taasisi pekee inayojishughulisha na Masuala ya Vijana nchini Tanzania kwa vitendo kabisa.

Pamoja na kwamba Dunia nzima kwa sasa inajiandaa na Siku ya Vijana Duniani ambayo itaadhimishwa 12/8/2022 , lakini hakuna Juhudi zozote za Serikali ya CCM wala Taasisi yake yoyote inayohangaika na Jambo hili, Wao wamekazana KUHUJUMU USAILI WA SENSA, ili wapate hela za kujikimu, Wamesahau kabisa kwamba VIJANA NDIO KUNDI KUBWA NA LENYE NGUVU NCHINI MWAO, vijana wana nguvu kichwani na wana nguvu za mwili pia, unawezaje kupuuza kundi kama hili?

Pichani ni viongozi wa Taasisi bora ya vijana Barani Africa, Wakiratibu na kupanga mipango ya Kidunia ya vijana katika maandalizi ya siku ya vijana.

View attachment 2302645
Agenda yenu kuu ya mkutano huo wa siku ya vijana duniani itakuwa ni ipi?
 
Mara zote tumeandika humu na kwingineko kwamba BAVICHA ndio Taasisi pekee inayojishughulisha na Masuala ya Vijana nchini Tanzania kwa vitendo kabisa.

Pamoja na kwamba Dunia nzima kwa sasa inajiandaa na Siku ya Vijana Duniani ambayo itaadhimishwa 12/8/2022 , lakini hakuna Juhudi zozote za Serikali ya CCM wala Taasisi yake yoyote inayohangaika na Jambo hili, Wao wamekazana KUHUJUMU USAILI WA SENSA, ili wapate hela za kujikimu, Wamesahau kabisa kwamba VIJANA NDIO KUNDI KUBWA NA LENYE NGUVU NCHINI MWAO, vijana wana nguvu kichwani na wana nguvu za mwili pia, unawezaje kupuuza kundi kama hili?

Pichani ni viongozi wa Taasisi bora ya vijana Barani Africa, Wakiratibu na kupanga mipango ya Kidunia ya vijana katika maandalizi ya siku ya vijana.

View attachment 2302645
Kuna tofauti kati ya vijana na kundi la makasuku
 
Back
Top Bottom