Bavicha wafika Uwanja wa Mkapa kushuhudia mechi ya Simba na Yanga

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ile Taasisi bora kabisa ya Vijana Barani Africa, na ambayo inatajwa kushika nafasi ya 3 kwa Ubora duniani (BAVICHA), tayari imefika ndani ya uwanja wa Mkapa kwa ajili ya kushudia mtanange wa Mahasimu Wawili wakubwa katika soka la Tanzania , Simba na Yanga .

Bavicha ambao wameingia uwanjani hapo wakiwa wamevalia fulana zao kali zilizoandikwa "KATIBA MPYA" wameamsha Shangwe za kufa mtu baada ya kushangiliwa na UWANJA MZIMA , jambo lililoleta taharuki kwa muda kabla ya uwanja kutulia .

 
Wanaweza kamatwa na Kingai[emoji1]
 
Kosa lao hakuna waliovaa yanga.
Hivyo bavicha ote simba.
Wamefeli kwenye manzari.
 
Simba ikishinda watakamatwa wakati wakitoka uwanjani.
 
Samia naye anataka katiba ya wananchi... Kuna watu huko CCM wanambania..et asigombee 2025!! Kama mbwai na iwe...mama atatuachia katiba mpya
 
Cheki sura zao, wameweka userious flani hivi as if they are a big deal!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…