Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Taarifa ya BAVICHA iliyo chapiswa kupitia mtandao wa X imeeleza kama ifuatavyo
Si kweli kuwa kuna mazingira ya rushwa (kwenye uchaguzi wa BAVICHA Taifa , Idrissa Kassim alikabidhiwa fedha za nauli kwa wajumbe wa BAVICHA kutoka Kanda ya Magharibi, wakati akiwalipa ndio ilitafsiriwa kuwa anatoa rushwa" -BAVICHA
Soma Pia: Kimeumana! mjumbe adakwa akidaiwa kugawa nauli uchaguzi Bavicha
"Alikabidhiwa fedha hizo kwa sababu yeye ni Katibu wa BAVICHA Kanda ya Magharibi" -BAVICHA
Si kweli kuwa kuna mazingira ya rushwa (kwenye uchaguzi wa BAVICHA Taifa , Idrissa Kassim alikabidhiwa fedha za nauli kwa wajumbe wa BAVICHA kutoka Kanda ya Magharibi, wakati akiwalipa ndio ilitafsiriwa kuwa anatoa rushwa" -BAVICHA
Soma Pia: Kimeumana! mjumbe adakwa akidaiwa kugawa nauli uchaguzi Bavicha
"Alikabidhiwa fedha hizo kwa sababu yeye ni Katibu wa BAVICHA Kanda ya Magharibi" -BAVICHA