BAVICHA ya Pambalu imesheheni wahuni siyo wanasiasa

BAVICHA ya Pambalu imesheheni wahuni siyo wanasiasa

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Nimefuatilia Uchaguzi wa BAVICHA unaonekana umejaa wahuni wasiojitambua kabisa wakiongozwa na Mwenyekiti wao,nimeona wengine wanasema walifoji vyeti ili wagombee,wengine wanasema bila Posho hakuna kura,wengine wanakamata walipa Posho wanawatangaza ni watoa Rushwa bila kujua athari zake kwa Chama nk

Nimeona Pambalu mwenyewe akitoa hotuba ya kihuni iliyojaa majungu ikionekana as if anamnanga Mbowe kwa tuhuma zilezile zisizo na ushahidi, ule ni utovu wa nidhamu na kushindwa kuelewa uongee nini na wapi hata kama alishangiliwa na wahuni wenzake wanaoonekana waziwazi walipangwa,Kampeni za kitoto kabisa.

Nimempenda Mbowe alivyowajibu kuwa wakati CHADEMA inaanzishwa wengi walikuwa hawajazaliwa na kama kungekuwa na Kampeni chafu kama hizo huenda hiyo BAVICHA wanayovimba nayo wasingeikuta leo.Kimsingi huwezi kumtenganisha Mbowe na BAVICHA ya leo na huwezi kumkosea heshima mtu ambaye alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa Vijana wa CHADEMA, wakina Pambalu wameamkia alipolala Mbowe.

Niwaombe Lissu,Heche,Lema,Libe na Wanaharakati wengine msiwaharibu vijana kwa kuwafundisha Siasa chafu,Nimemsikia Heche anavyowafundisha watu kurekodi mambo ya Chama na kusambaza mitandaoni badala ya vikao vya Chama na pia nimemsikiliza vitu anavyoongea juu ya Samia nimemdharau sana.

WanaCHADEMA msiruhusu chama chenu kikakabidhiwa kwa wahuni mtamkumbuka Mbowe baada ya muda mfupi sana.
 
Nimefuatilia Uchaguzi wa BAVICHA unaonekana umejaa wahuni wasiojitambua kabisa wakiongozwa na Mwenyekiti wao,nimeona wengine wanasema walifoji vyeti ili wagombee,wengine wanasema bila Posho hakuna kura,wengine wanakamata walipa Posho wanawatangaza ni watoa Rushwa bila kujua athari zake kwa Chama nk

Nimeona Pambalu mwenyewe akitoa hotuba ya kihuni iliyojaa majungu ikionekana as if anamnanga Mbowe kwa tuhuma zilezile zisizo na ushahidi, ule ni utovu wa nidhamu na kushindwa kuelewa uongee nini na wapi hata kama alishangiliwa na wahuni wenzake wanaoonekana waziwazi walipangwa,Kampeni za kitoto kabisa.

Nimempenda Mbowe alivyowajibu kuwa wakati CHADEMA inaanzishwa wengi walikuwa hawajazaliwa na kama kungekuwa na Kampeni chafu kama hizo huenda hiyo BAVICHA wanayovimba nayo wasingeikuta leo.Kimsingi huwezi kumtenganisha Mbowe na BAVICHA ya leo na huwezi kumkosea heshima mtu ambaye alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa Vijana wa CHADEMA, wakina Pambalu wameamkia alipolala Mbowe.

Niwaombe Lissu,Heche,Lema,Libe na Wanaharakati wengine msiwaharibu vijana kwa kuwafundisha Siasa chafu,Nimemsikia Heche anavyowafundisha watu kurekodi mambo ya Chama na kusambaza mitandaoni badala ya vikao vya Chama na pia nimemsikiliza vitu anavyoongea juu ya Samia nimemdharau sana.

WanaCHADEMA msiruhusu chama chenu kikakabidhiwa kwa wahuni mtamkumbuka Mbowe baada ya muda mfupi sana.
Wajumbe wanajitambua watachagua viongozi wanaoendana na wakati.
 
Hii aina ya siasa wanazoendesha wanaharakati wenye njaa kali Chadema ikishinda, Chadema itakwisha maana viongoz wake wengi watakuwa jela.

Nadhani ni suala la kukosa kazi.

Tundu Lissu hana kaz inayompa fedha nae anaish kama political asylum Belgium

Lema anaish kwa chakula cha ration ulaya

Heche hana kazi

Pambalu hana kazi

Hao vijana hawana kaz zinazoeleweka...

Wengi wamemaliza masomo wanasubir ajira na ndio maana kwao posho ni kipaumbele

Mambo ni magumu
 
Hii aina ya siasa wanazoendesha wanaharakati wenye njaa kali Chadema ikishinda, Chadema itakwisha maana viongoz wake wengi watakuwa jela.

Nadhani ni suala la kukosa kazi.

Tundu Lissu hana kaz inayompa fedha nae anaish kama political asylum Belgium

Lema anaish kwa chakula cha ration ulaya

Heche hana kazi

Pambalu hana kazi

Hao vijana hawana kaz zinazoeleweka...

Wengi wamemaliza masomo wanasubir ajira na ndio maana kwao posho ni kipaumbele

Mambo ni magumu

..wapitishe UVCcm kwenye tanuru na madhila wanayopitia Bavicha uone kama hawatakimbia wote.
 
Nimefuatilia Uchaguzi wa BAVICHA unaonekana umejaa wahuni wasiojitambua kabisa wakiongozwa na Mwenyekiti wao,nimeona wengine wanasema walifoji vyeti ili wagombee,wengine wanasema bila Posho hakuna kura,wengine wanakamata walipa Posho wanawatangaza ni watoa Rushwa bila kujua athari zake kwa Chama nk

Nimeona Pambalu mwenyewe akitoa hotuba ya kihuni iliyojaa majungu ikionekana as if anamnanga Mbowe kwa tuhuma zilezile zisizo na ushahidi, ule ni utovu wa nidhamu na kushindwa kuelewa uongee nini na wapi hata kama alishangiliwa na wahuni wenzake wanaoonekana waziwazi walipangwa,Kampeni za kitoto kabisa.

Nimempenda Mbowe alivyowajibu kuwa wakati CHADEMA inaanzishwa wengi walikuwa hawajazaliwa na kama kungekuwa na Kampeni chafu kama hizo huenda hiyo BAVICHA wanayovimba nayo wasingeikuta leo.Kimsingi huwezi kumtenganisha Mbowe na BAVICHA ya leo na huwezi kumkosea heshima mtu ambaye alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa Vijana wa CHADEMA, wakina Pambalu wameamkia alipolala Mbowe.

Niwaombe Lissu,Heche,Lema,Libe na Wanaharakati wengine msiwaharibu vijana kwa kuwafundisha Siasa chafu,Nimemsikia Heche anavyowafundisha watu kurekodi mambo ya Chama na kusambaza mitandaoni badala ya vikao vya Chama na pia nimemsikiliza vitu anavyoongea juu ya Samia nimemdharau sana.

WanaCHADEMA msiruhusu chama chenu kikakabidhiwa kwa wahuni mtamkumbuka Mbowe baada ya muda mfupi sana.
Kama unayosema ni kweli basi ni balaa. Sasa hivi kila mtu anataka ajionyeshe kuwa ni mwamba kuliko mwamba. Chadema yanaweza kuwa kama ya yule mbwa aliyelifukuza basi mpaka alipolifikia. Baada ya kulifikia hakuwa na la kufanya bali kurudi alikotoka.

Amandla...
 
Hii aina ya siasa wanazoendesha wanaharakati wenye njaa kali Chadema ikishinda, Chadema itakwisha maana viongoz wake wengi watakuwa jela.

Nadhani ni suala la kukosa kazi.

Tundu Lissu hana kaz inayompa fedha nae anaish kama political asylum Belgium

Lema anaish kwa chakula cha ration ulaya

Heche hana kazi

Pambalu hana kazi

Hao vijana hawana kaz zinazoeleweka...

Wengi wamemaliza masomo wanasubir ajira na ndio maana kwao posho ni kipaumbele

Mambo ni magumu
Lissu ndiye mwenyekiti ajaye wa Chadema
 
..wapitishe UVCcm kwenye tanuru na madhila wanayopitia Bavicha uone kama hawatakimbia wote.
Exactly,
Sasa mikakati ni muhim kuliko mihemko na kuchafuana kama wanavyofanya sasa.

They should be stronger together as alleged
 
Exactly,
Sasa mikakati ni muhim kuliko mihemko na kuchafuana kama wanavyofanya sasa.

They should be stronger together as alleged

..dhuluma zikizidi mihemko haiepukiki.

..hao unawaita wahuni wenye mihemko wana wanachama wenzao waliopotezwa.

..jiulize Uvccm wangapi wamewahi kupotezwa.
 
..dhuluma zikizidi mihemko haiepukiki.

..hao unawaita wahuni wenye mihemko wana wanachama wenzao waliopotezwa.

..jiulize Uvccm wangapi wamewahi kupotezwa.
Swali, watafanikiwa kwa kiasi gani?

Siasa za kutekana, kupotezana zilianza zamani sana, na hakuna kitu kimetokea.

Unadhani kuna kitu kitafanyika tofaut na kupanga upya mikakati?

Dr Slaa yupo Jela siku ya Nne leo, kuna kitu kimetokea?

Wakiamua kuwadweka jela wote watafanya nini?
 
Swali, watafanikiwa kwa kiasi gani?

Siasa za kutekana, kupotezana zilianza zamani sana, na hakuna kitu kimetokea.

Unadhani kuna kitu kitafanyika tofaut na kupanga upya mikakati?

Dr Slaa yupo Jela siku ya Nne leo, kuna kitu kimetokea?

Wakiamua kuwadweka jela wote watafanya nini?

..kauli sahihi ni siasa za CCM kuwateka, na kuwapoteza, wafuasi wa vyama shindani.

..wanaoteka na kupoteza wenzao ndio wahuni, sio wale wanaodhulumiwa kama anavyodai mtoa mada.
 
B
Nimefuatilia Uchaguzi wa BAVICHA unaonekana umejaa wahuni wasiojitambua kabisa wakiongozwa na Mwenyekiti wao,nimeona wengine wanasema walifoji vyeti ili wagombee,wengine wanasema bila Posho hakuna kura,wengine wanakamata walipa Posho wanawatangaza ni watoa Rushwa bila kujua athari zake kwa Chama nk

Nimeona Pambalu mwenyewe akitoa hotuba ya kihuni iliyojaa majungu ikionekana as if anamnanga Mbowe kwa tuhuma zilezile zisizo na ushahidi, ule ni utovu wa nidhamu na kushindwa kuelewa uongee nini na wapi hata kama alishangiliwa na wahuni wenzake wanaoonekana waziwazi walipangwa,Kampeni za kitoto kabisa.

Nimempenda Mbowe alivyowajibu kuwa wakati CHADEMA inaanzishwa wengi walikuwa hawajazaliwa na kama kungekuwa na Kampeni chafu kama hizo huenda hiyo BAVICHA wanayovimba nayo wasingeikuta leo.Kimsingi huwezi kumtenganisha Mbowe na BAVICHA ya leo na huwezi kumkosea heshima mtu ambaye alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa Vijana wa CHADEMA, wakina Pambalu wameamkia alipolala Mbowe.

Niwaombe Lissu,Heche,Lema,Libe na Wanaharakati wengine msiwaharibu vijana kwa kuwafundisha Siasa chafu,Nimemsikia Heche anavyowafundisha watu kurekodi mambo ya Chama na kusambaza mitandaoni badala ya vikao vya Chama na pia nimemsikiliza vitu anavyoongea juu ya Samia nimemdharau sana.

WanaCHADEMA msiruhusu chama chenu kikakabidhiwa kwa wahuni mtamkumbuka Mbowe baada ya muda mfupi sana.
Broo its either umetawaliwa na chuki au umelambishwa asali, ila ukweli ni kuwa Demokrasia itashinda dhidi ya pesa
 
Nimefuatilia Uchaguzi wa BAVICHA unaonekana umejaa wahuni wasiojitambua kabisa wakiongozwa na Mwenyekiti wao,nimeona wengine wanasema walifoji vyeti ili wagombee,wengine wanasema bila Posho hakuna kura,wengine wanakamata walipa Posho wanawatangaza ni watoa Rushwa bila kujua athari zake kwa Chama nk

Nimeona Pambalu mwenyewe akitoa hotuba ya kihuni iliyojaa majungu ikionekana as if anamnanga Mbowe kwa tuhuma zilezile zisizo na ushahidi, ule ni utovu wa nidhamu na kushindwa kuelewa uongee nini na wapi hata kama alishangiliwa na wahuni wenzake wanaoonekana waziwazi walipangwa,Kampeni za kitoto kabisa.

Nimempenda Mbowe alivyowajibu kuwa wakati CHADEMA inaanzishwa wengi walikuwa hawajazaliwa na kama kungekuwa na Kampeni chafu kama hizo huenda hiyo BAVICHA wanayovimba nayo wasingeikuta leo.Kimsingi huwezi kumtenganisha Mbowe na BAVICHA ya leo na huwezi kumkosea heshima mtu ambaye alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa Vijana wa CHADEMA, wakina Pambalu wameamkia alipolala Mbowe.

Niwaombe Lissu,Heche,Lema,Libe na Wanaharakati wengine msiwaharibu vijana kwa kuwafundisha Siasa chafu,Nimemsikia Heche anavyowafundisha watu kurekodi mambo ya Chama na kusambaza mitandaoni badala ya vikao vya Chama na pia nimemsikiliza vitu anavyoongea juu ya Samia nimemdharau sana.

WanaCHADEMA msiruhusu chama chenu kikakabidhiwa kwa wahuni mtamkumbuka Mbowe baada ya muda mfupi sana.
Pole kwa kucheewa kulijua hilo.
 
Back
Top Bottom