Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 70
c muanzishe chuo kama mnaona mnaonewa hata cc 2nasoma lazime ufuate taratibu,heche acha ku2mia upupu kwenye ukwel mbona unaudhalilisha ualimu au
kilichotokea kwa wanafunzi hawa ni sawa na kile kilichotokea kwa madiwani wa5 arusha.sheria zifuatwe.na nyie mnaohamasiSha migomo vyuoni dawa yenu ipo jikoni.
nyie bavicha sijui basata,acheni Uchoche zi.mtu mwny akili timamU hawezi kuunga mkono huu upupu.nyie ni njaa tu inawasumbua.kawateteeni kwanza madiwani watano arusha walionyanyaswa,kuonewa na hatimaye kubakwa haki yao ya kikatiba ya kushiriki siasa na kuleta maendeleo apa nchini.kilichotokea kwa wanafunzi han
hivi wale madent wa udom walohamasishwa kugoma kisha jamaa walowachochea wakazima sim wako wapi?
Serikali za Africa wanatumia vitisho kuwafanya wananchi wasihoji maswali magumu. Lakini hili siku moja litafikia mwisho pale wananchi watakaposema yatosha kama kwingineko Duniani wanavyofanya. Serikali kuweni makini sana na maamuzi munayoyachukua. Mambo mengine hayahitaji kutumia nguvu sana. Nakumbuka enzi za Prof Mkude alipokua CADO akina Zito walimtukana on his face lakini alikuwa mpole na kuhakikisha anatatua matatizo ya wanafunzi na chuo kilikua kilienda vizuri. Siku hizi masilahi ya watawala yamewekwa mstari wa mbele. Hakika hatutafika
wewe ndio unatakiwa upelekwe mirembe haraka.serikali imeongeza idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa vyuo vikuu kutoka ef 15 hadi laki moja kwa mwaka leo.unataka ikuletee ugali kwenu?acha uvivu wa kutafakari ww.msitake kutengeneza taifa la walalamikaji apa.Unatakiwa kupimwa akili wewe. Madiwani walikua wanadai mikopo? Madiwani walikua wanadai wenzao wapi warudishwe waliokua wamefukuzwa. Unaleta comparizoni ya Mbingu na Ardhi hapa?
Kwa swala la wanaoleta migomo vyuoni na kua dawa yao iko jikoni nakuunga mkono. Kwani hata mie nauona mwisho wa serikali ya CCM inyowanyima wanafunzi mikopo na pia kuchelewesha kwa wale wanaostahili kuipata.
hivi wale madent wa udom walohamasishwa kugoma kisha jamaa walowachochea wakazima sim wako wapi?
Chalii mbona unaendeshwa kwa vionjo. Kawaambie masaburi wenzako wakukochi vizuri ndo uje hapa kutema upupu wako vizuri. Jaribu kuushirikisha ubongo wako tofauti na tumbo lako unapoingia hapa.
Muchembe uhuru wala si mbali ni hapooo 2015. ni pale tutakapo panda bus letu la T2015CDMThnx sana BAVICHA, hii ya wanafunzi kufukuzwa imeniuma sana, alafu tunahadhisha eti miaka hamsini ya uhuru!!! uhuru gani huu? uhuru wa nani? uhuru wa watanzania? Wezi wa EPA, Richmond, Dowans, Meremeta, Kagoda wapo wapi?
Mimi nafikiri ni uhuru kwa Mafisadi wote, C.C.M na watoto wao kina Rtz1, Nape, Shigela, Malisa.
Sio uhuru wa watanzania huu, uhuru wetu tunausubili kwa hamu siku ikifika, na ipo karibu yaja.
teh,kina tobo lisu wamewatelekeza.kaaz kwelkwelWapo pale maeneo ya Sakina Arusha, wanauza Mbege
huna sera wewe peleka masaburi yako Sokoni yakasuguliwe uko.kajipange upya ndo ujibizane na mimi baba yako apa.ukikua najua utaacha ungeSe wako huo
ntamleta selasini na shibuda ndo watakupa majibu kuhusu umuhim wa kusoma,kudai Posho na kufuata sheria.kabadili kwanza jina ndo uje apaKawaulize magamba wenzako wana majibu ya kina juu ya hili
nimekwambia huna hadh ya kujibizana na baba yako.kwanza umekula wewe?Yaani we ni pimbi uliyepitiliza, ni infact nimeshakujua ni wangese wale wale wa magamba. Unapaswa uwalaumu magamba wenzako kwa kukufanya uwe kama ulivyo
wewe ndio unatakiwa upelekwe mirembe haraka.serikali imeongeza idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa vyuo vikuu kutoka ef 15 hadi laki moja kwa mwaka leo.unataka ikuletee ugali kwenu?acha uvivu wa kutafakari ww.msitake kutengeneza taifa la walalamikaji apa.