Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Iko hivyo na haitakuja kubadilika, Fuatilia Makongamano yote ya Mamluki yanayofanyika leo, halafu linganisha na Kongamano la Chadema linalofanyika Mlimani City, Utanishukuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unayaonaje ukifananisha na yale matenge ya kichovu ya upande wa pili?Hayo magauni ndio sare ya chama?
Nauliza kwa nia njema
Picha ni nyingi mno!Ndivyo inavyotakiwa. Ila mpiga picha hajawatendea haki. Sasa mnatakiwa mboreshe social media yenu kwa kuwa na updates za kila mara.
Amandla...
Unayaonaje ukifananisha na yale matenge ya kichovu ya upande wa pili?
Yako vizuri kuliko ya mbogamboga
Nadhani kama mchangiaji alivyosema hapo juu CHADEMA watafute photographer mzuri
Kitendo cha Bawacha kufanya kongamano wenyewe bila kuvalishwa picha za Samia nimekipenda mno. Hakuna kuchanganyika na majizi ya kura.
HakikaKitendo cha Bawacha kufanya kongamano wenyewe bila kuvalishwa picha za Samia nimekipenda mno. Hakuna kuchanganyika na majizi ya kura.
Wala hakuna aliyevishwa matenge ya bei chee yenye picha ya mtuKwakweli maadhimisho yamefana sana, na hakuna aliyebebwa kwenye fuso wala kuahidiwa nyama za Ng'ombe.
Kudos BAWACHA 🫡✌️
ni nini hiki?
Tulia wewe!ni nini hiki?
Na ela ya kukodisha ukumbi mlipe, msije mkaingia tena mitini, maana lisu ni tapeli sanaTulia wewe!