Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Baraza la wanawake wa Chadema (BAWACHA), Ambayo ndio Taasisi bora kabisa ya Akina mama kwa sasa barani Afrika, imeitisha semina kwa ajili ya wajasiriamali wote kwa lengo la kuwajengea uwezo ili kuboresha biashara zao.
Semina hii kabambe itafanyika Jumamosi tarehe 25/9/2021 kwenye ofisi za chama hicho Nje ya Jiji la Dar es Salaam huko Kinondoni, kuanzia saa 6 Mchana.
MUHIMU: Tuzingatie mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona.
Wote Mnakaribishwa.
Semina hii kabambe itafanyika Jumamosi tarehe 25/9/2021 kwenye ofisi za chama hicho Nje ya Jiji la Dar es Salaam huko Kinondoni, kuanzia saa 6 Mchana.
MUHIMU: Tuzingatie mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona.
Wote Mnakaribishwa.