Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni baada ya timu hiyo kupokea kipigo cha mbwa koko kwenye mechi ya Jumamosi ugenini kwa Eintracht Frankfut ambako walitandikwa bao 5 -1.
Je, ni nani atapewa kazi ya kukinoa kikosi hiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hana loloteKama nawaona Arsenal wanavyomuwahi huyu kocha.
Hao wanajitambua, si Arsenali na Unai.View attachment 1253357
Hii ni baada ya timu hiyo kupokea kipigo cha mbwa koko kwenye mechi ya Jumamosi ugenini kwa Eintracht Frankfut ambako walitandikwa bao 5 -1.
Je, ni nani atapewa kazi ya kukinoa kikosi hiki?