Dr Msaka Habari
Member
- Apr 9, 2022
- 66
- 32
Taasisi ya Kifedha ya Bayport imeeleza namna ya kukidhi vigezo vya kupata Mkopo , pia imesema kwamba hakuna haja yakusafiri muda mrefu au kuandika nyaraka kuomba Mkopo.
Afisa Uendeshaji Mkuu wa Bayport Nderingo Materu amesema kwamba taasisi hiyo inatoa huduma za mikopo kwa watumishi wa umma pekee , ambapo kwa watumishi wa umma pekee,ambapo mikopo hiyo inatolewa kwa njia ya mtandao.
"Bayport imerahisishia mteja kupata Mkopo Kwa njia ya haraka Kwa njia ya mtandao,leo tuna mtambulisha Haji Manara kiwa Balozi wetu kwasababu tafikisha taarifa zetu Kwa wafuasi wengi wanaomfuatilia kwenye mitandao yake ya Kijamii ikiwemo Instagram , Tweeter, na Facebook, "amesema Materu.
Wakati huo huo Bayport imempa kandarasi yakua balozi Afisa habari na Mhamasishaji wa klabu ya Wananchi (Young Africans) ambapo matarajio ni kuwa aweze kuitangaza taasisi hiyo kupitia akaunti zake za mitandao ya Kijamii.
Bw.Materu amendelea kufafanua kuwa mteja anaetaka Mkopo anapaswa kupiga simu au kubonyeza *150*49# nakufuata maelekezo .
Kwa upande wake Khaj Manara alisesema kwamba mkataba huo atahakikisha anautendea kutokana na uwezo wake wa ushawishi kupitia mitandao ya Kijamii.
"Masharti ya Bayport siyo mwiba Kwa watumishi wa Umma ambao wanalipwa na serikali pamoja na taasisi zake,hivyo nawasihi wachangamkie fursa hii ,kwani upatikanaji wa mikopo yao ni rahisi sana na inalipwa kupitia simu ya kiganjani popote ulipo." Amesema Manara.
Aidha Khaji Manara alitumia fursa hiyo kuwakumbusha wachezaji wa mpira wa miguu wenye majina makubwa kutumia mitandao ya Kijamii Kwa ajili ya kujitangaza nakupata kipato kwani baadhi yao wamekuwa wakiachana na soka wanajikuta wanaishi maisha magumu.
Afisa Uendeshaji Mkuu wa Bayport Nderingo Materu amesema kwamba taasisi hiyo inatoa huduma za mikopo kwa watumishi wa umma pekee , ambapo kwa watumishi wa umma pekee,ambapo mikopo hiyo inatolewa kwa njia ya mtandao.
"Bayport imerahisishia mteja kupata Mkopo Kwa njia ya haraka Kwa njia ya mtandao,leo tuna mtambulisha Haji Manara kiwa Balozi wetu kwasababu tafikisha taarifa zetu Kwa wafuasi wengi wanaomfuatilia kwenye mitandao yake ya Kijamii ikiwemo Instagram , Tweeter, na Facebook, "amesema Materu.
Wakati huo huo Bayport imempa kandarasi yakua balozi Afisa habari na Mhamasishaji wa klabu ya Wananchi (Young Africans) ambapo matarajio ni kuwa aweze kuitangaza taasisi hiyo kupitia akaunti zake za mitandao ya Kijamii.
Bw.Materu amendelea kufafanua kuwa mteja anaetaka Mkopo anapaswa kupiga simu au kubonyeza *150*49# nakufuata maelekezo .
Kwa upande wake Khaj Manara alisesema kwamba mkataba huo atahakikisha anautendea kutokana na uwezo wake wa ushawishi kupitia mitandao ya Kijamii.
"Masharti ya Bayport siyo mwiba Kwa watumishi wa Umma ambao wanalipwa na serikali pamoja na taasisi zake,hivyo nawasihi wachangamkie fursa hii ,kwani upatikanaji wa mikopo yao ni rahisi sana na inalipwa kupitia simu ya kiganjani popote ulipo." Amesema Manara.
Aidha Khaji Manara alitumia fursa hiyo kuwakumbusha wachezaji wa mpira wa miguu wenye majina makubwa kutumia mitandao ya Kijamii Kwa ajili ya kujitangaza nakupata kipato kwani baadhi yao wamekuwa wakiachana na soka wanajikuta wanaishi maisha magumu.