BBC kwanini mmecha kuzungumzia matukio muhimu ya Uchaguzi wa Tanzania?

BBC kwanini mmecha kuzungumzia matukio muhimu ya Uchaguzi wa Tanzania?

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Leo jioni katika matangazo yao, wamerusha kipindi kinachozungumzia matukio muhimu ya 2024 hapa Tanzania. Katika matukio ya kisiasa wamekwepa kabisa

kuzungumzia kilichtokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa! Hivi kweli unaweza kuzungumzia hali ya kisiasa Tanganyika 2024 bila kugusia hilo? Nimeamini chawa wana nguvu na ushawishi mkubwa na wametapakaa sana
 
Leo jioni katika matangazo yao, wamerusha kipindi kinachozungumzia matukio muhimu ya 2024 hapa Tanzania. Katika matukio ya kisiasa wamekwepa kabisa
kuzungumzia kilichtokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa! Hivi kweli unaweza kuzungumzia hali ya kisiasa Tanganyika 2024 bila kugusia hilo? Nimeamini chawa wana nguvu na ushawishi mkubwa na wametapakaa sana
huku ni kuingilia editorial independence ya BBC, wengine wana discuss serious things only na sio maigizo!,unataka kuwalazimisha BBC kujadili maigizo?。
P
 
Leo jioni katika matangazo yao, wamerusha kipindi kinachozungumzia matukio muhimu ya 2024 hapa Tanzania. Katika matukio ya kisiasa wamekwepa kabisa
kuzungumzia kilichtokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa! Hivi kweli unaweza kuzungumzia hali ya kisiasa Tanganyika 2024 bila kugusia hilo? Nimeamini chawa wana nguvu na ushawishi mkubwa na wametapakaa sana
Wewe hufuatilii BBC wanarusha matangazo mara kwa mara ya kuwatetea wapinzani kuna kipindi mpaka nikawa siangalii kwa sababu mambo mazuri anayofanya Rais wetu hawaonyeshi ila mambo ya upinzani ndiyo wako mstari wa mbele
 
huku ni kuingilia editorial independence ya BBC, wengine wana discuss serious things only na sio maigizo!,unataka kuwalazimisha BBC kujadili maigizo?。
P
Kumbe uchaguzi wa serikali za mitaa ulikuwa ni maigizo?kama ilikuwa ni maigizo basi uchaguzi urudiwe
 
Wewe hufuatilii BBC wanarusha matangazo mara kwa mara ya kuwatetea wapinzani kuna kipindi mpaka nikawa siangalii kwa sababu mambo mazuri anayofanya Rais wetu hawaonyeshi ila mambo ya upinzani ndiyo wako mstari wa mbele
Labda hiyo inasikika huko kwenu tu
 
huku ni kuingilia editorial independence ya BBC, wengine wana discuss serious things only na sio maigizo!,unataka kuwalazimisha BBC kujadili maigizo?。
P
Upo sahihi bwana "NJAA" Tanzania hamna uchaguzi ni MAIGIZO, sio vema kujadiri MAIGIZO 🤔🤔

Understand beyond visible meaning!!!😅🤣
 
Nina mashaka na vyuo mnavyopitia, editorial independence haipaswi kuwa editorial ignorance
Jamaa analeta journalism's phrase, but hakuna LOGIC yoyote katika alichojibu 😅😅.

Mayala ni "NJAA"🤣😅🤣😅 an empty stomach.......can not study, think logically 🤣😅🤣😅🤸🤸🤸🤸🚴🚴🚴
 
Back
Top Bottom