BBC Dira ya Dunia imefanya tathmini ya mikopo waliyopewa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ili kukabiliana na janga la Corona ikiwemo uhifadhi na usafirishaji salama wa chanjo.
BBC imegundua kuwa Kenya na Rwanda ndio zimepewa mikopo mikubwa na nchi wahisani na hivyo kuwaongezea kwa kiasi kikubwa deni la taifa.
Kwa mujibu wa BBC hadi sasa Tanzania ndio nchi pekee isiyodaiwa mkopo wa Corona popote pale duniani.
Source: BBC Dira ya Dunia
Mungu ni mwema wakati wote!
Pale Makete Primary School uliposoma ndiyo walikuharibu vibaya sana.Huo ni msaada bwashee!
Takwimu zetu tunazijua wenyeweBBC Dira ya Dunia imefanya tathmini ya mikopo waliyopewa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ili kukabiliana na janga la Corona ikiwemo uhifadhi na usafirishaji salama wa chanjo.
BBC imegundua kuwa Kenya na Rwanda ndio zimepewa mikopo mikubwa na nchi wahisani na hivyo kuwaongezea kwa kiasi kikubwa deni la taifa.
Kwa mujibu wa BBC hadi sasa Tanzania ndio nchi pekee isiyodaiwa mkopo wa Corona popote pale duniani.
Source: BBC Dira ya Dunia
Mungu ni mwema wakati wote!
Hahahaaaa....... Bwashee umechanjwa J J au Astra zeneca?Pale Makete Primary School ndiyo walikuharibu vibaya sana.
MF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania
JJ nasubiri booster.Hahahaaaa....... Bwashee umechanjwa J J au Astra zeneca?
Katika hao waliozikwa usiku yupo ndugu yako hata mmoja alizikwa miongoni mwao...??Twambie watu wangapi tulizika usiku na watu wangapi Kenya ilizika usiku ili tulinganishe thamani yake vizuri.
Hiyo mikopo ya corona ni msaada wa kiuchumi wenye masharti nafuu,Tzn tumechelewa Sana kuuupata ndio maana wenzetu wamepewa mara mbili mbili kwa sababu ni nafuu kuliko kukopa kwenye benki za kibiashara.BBC Dira ya Dunia imefanya tathmini ya mikopo waliyopewa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ili kukabiliana na janga la Corona ikiwemo uhifadhi na usafirishaji salama wa chanjo.
BBC imegundua kuwa Kenya na Rwanda ndio zimepewa mikopo mikubwa na nchi wahisani na hivyo kuwaongezea kwa kiasi kikubwa deni la taifa.
Kwa mujibu wa BBC hadi sasa Tanzania ndio nchi pekee isiyodaiwa mkopo wa Corona popote pale duniani.
Source: BBC Dira ya Dunia
Mungu ni mwema wakati wote!
Pesa tumepata hayo ya kuchanja hayahusianiNa hii J&J walioleta tumechanja laki 3. Na kama walitukopesha basi iliyobaki tunarudisha maana vijana walimwambia mama 'tunachanjwi'.
Hicho chama cha wauaji kinawafaa nyie waigizaji wa tamthilia.Hongera!
Karibu CCM.