JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Wakati Kiongozi wa kiroho wa katoliki akielekeza uzinduzi wa kanisa la Notre Dame akiwa Rome, kiongozi wa dini nyingine anaelekeza wafuasi wake wapigane vita syria akiwa Tehrani.
Hivi kiongozi wa kiroho anawezaje kutoa maelekezo kwa wafuasi wake hezbollah na hamas wapigane vita Syria dhidi ya wafuasi wenzie wa dhehebu tofauti (islamists jihads).