BBC ndiyo nini hiki? Udini huu

BBC ndiyo nini hiki? Udini huu

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
IMG20241207212520.jpg



Wakati Kiongozi wa kiroho wa katoliki akielekeza uzinduzi wa kanisa la Notre Dame akiwa Rome, kiongozi wa dini nyingine anaelekeza wafuasi wake wapigane vita syria akiwa Tehrani.

Hivi kiongozi wa kiroho anawezaje kutoa maelekezo kwa wafuasi wake hezbollah na hamas wapigane vita Syria dhidi ya wafuasi wenzie wa dhehebu tofauti (islamists jihads).
 
Vita vya Syria ni vigumu kuvielewa kwa lens rahisi!

Kumbuka US, IRAN, ASSAD KURDS, walipigani upande mmoja dhidi ya ISS!

ISS walienda wapi baada ya vita?

Ndio hao wamerudi kwa jina la HTS! This time wanaungwa mkono na US na Turkey !

Amini kama waasi watamuondoa Assad, hao waasi hawawezi kuongoza!

Geopolitics ni ngumu kuzielewa! Hakuna Usuni na Ushia hapo!
 
Vita vya Syria ni vigumu kuvielewa kwa lens rahisi!

Kumbuka US, IRAN, ASSAD KURDS, walipigani upande mmoja dhidi ya ISS!

ISS walienda wapi baada ya vita?

Ndio hao wamerudi kwa jina la HTS! This time wanaungwa mkono na US na Turkey !

Amini kama waasi watamuondoa Assad, hao waasi hawawezi kuongoza!

Geopolitics ni ngumu kuzielewa! Hakuna Usuni na Ushia hapo!
Hilo linafahamika sana
 
View attachment 3171561


Wakati Kiongozi wa kiroho wa katoliki akielekeza uzinduzi wa kanisa la Notre Dame akiwa Rome, kiongozi wa dini nyingine anaelekeza wafuasi wake wapigane vita syria akiwa Tehrani.

Hivi kiongozi wa kiroho anawezaje kutoa maelekezo kwa wafuasi wake hezbollah na hamas wapigane vita Syria dhidi ya wafuasi wenzie wa dhehebu tofauti (islamists jihads).
Ukristo AMANI, Uislamu VITA, hivi vijamaa ni vikorofi sana
 
Back
Top Bottom