BBC Swahili chombo cha kueneza propaganda za Kenya

This is so true. Sijui tuwafungie?!
Dah Mnaishi maisha ya tabu sana. Kutokujiamini kama watumwa. Mara mfungie KQ mara Brookside mara Eastafrican mara BBC mara sukari
Halafu wenyewe hamjiwezi kwa uvivu na uzembe wa kufa mtu. Mnafungia halafu mnaachia maana hamna jinsi.
 
Dah Mnaishi maisha ya tabu sana. Kutokujiamini kama watumwa. Mara mfungie KQ mara Brookside mara Eastafrican mara BBC mara sukari
Halafu wenyewe hamjiwezi kwa uvivu na uzembe wa kufa mtu. Mnafungia halafu mnaachia maana hamna jinsi.
Hahaaa.....deni la KQ ni sh ngapi vile? It's time mwauzie foreigners, ili nayo iwe foreign owned like everything else in Kenya!
 
Hahaaa.....deni la KQ ni sh ngapi vile? It's time mwauzie foreigners, ili nayo iwe foreign owned like everything else in Kenya!

Wachana na ya ndege maana yakhee wa kawaida kitaa hana hata ndoto ya kuikaribia, tuongee ya hapo, vipi umepata mgao wako wa sukari iliyotaifishwa, maana bei imepanda sana kwa ajili ya hayo maamuzi ya kubabaishana. Halafu mbona wewe naona kama una bahati simu haijazimwa, bado unatamba humu JF, wenzako waliokua wanatusumbua humu na kauli za kiajabu ajabu wapo kimya tangu zizimwe, ina maana walikua wanatumia vimeo.

Tutapata afueni walau kwa miezi kabla wanunue zingine.
 
Napata mashaka kidogo na zuhura,niliwahi msikia akisema ni mkenya toka mombasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…