vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Kwani clouds radio one usafi na radio free Africa wanaliongelea ?Hawa BBC swahili watakuwa wamepokea nini unadhani nikiwasikiliza online wanakwepa kabisa kujadili Waarabu kuuziwa nchi viongozi
Najaribu kukumbuka hawa watu walikuwa na ueledi sana kipindi Hayati Magufuli yupo madarakani walihoji bila woga
Walihoji udhaifu Magufuli kubinya demokrasia
Lakini sasa wapo kimya na ufisadi unaofanyika kule Tanganyika, nasema bbc kwasababu yeye anakuwa na nafasi zaidi kuliko media za Tanganyika kuripoti hizi habari za Tanganyika kuuzwa
DW-swahili ndio kidogo wanamulika hii kashfa ya nchi kuuzwa
Bbc swahili au tuunge dot kuanzia kwa zoora yonos
Kwani clouds radio one usafi na radio free Africa wanaliongelea ?
Una wakika au zenyewe ndo zijipendekeza kwa chama tawala.Media za ndani Tanganyika zimepigwa stop
Una wakika au zenyewe ndo zijipendekeza kwa chama tawala.
tupe uthibitishoZimepigwa stop
Mkuu usihangaike na hyo jamaa....ukiangalia namna anavyotapatapa na uandishi wake unaona kabisa ni mtu ambaye ana msongo wa mawazo kwa namna ambayo kuna maslahi yake yanaenda kubinywa au analipwa kushutumu tu....maana masaa 24 yeye ni kubweka tu....na thread kibao anaanzisha...kwahiyo ni kumpuuza tutupe uthibitisho