Uchaguzi 2020 BBC Swahili wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa

Na vipi suala la hizi sheria. Hazijavunjwa?
-makinikia kuto safirlrishwa nje.
-miamala kufanywa ktk mabenki ya ndani peke yake.
-migogoro kuto pelekwa mahakama za nje.
Paskaliiiï
 
Na vipi suala la hizi sheria. Hazijavunjwa?
-makimikia kuto safirlrishwa nje.
-miamala kufantwa ktk mabenki ya ndani peke yake.
-migogoro kuto pelekwa mahakama za nje.
Paskaliiiï
Yule Mtaalamu yuko right kabisa, ila the root ya habari hiyo ni utafiti wa BBC, kusema kuna makubaliano mawili ya 2017 na 2019, is wrong, draft inapoitwa mkataba na watu kama BBC is very wrong.
P
 
Sawa jiandae kuwa DC
 
Yule Mtaalamu yuko right kabisa, ila the root ya habari hiyo ni utafiti wa BBC, kusema kuna makubaliano mawili ya 2017 na 2019, is wrong, draft inapoitwa mkataba na watu kama BBC is very wrong.
P
Asante kwa ufafanuzi mzuri. Nimekuelewa Sana Paskali
 
Ukiona zee zima linakuwa liongo,jua ama ni mchawi au taahira.
Amini hivyo hivyo kuwa ni uongo...video hiyo sijaiona peke yangu...watu kadhaa wameiona na ni video ambayo siyo fake....ila Hilo la utahira hiyo ni lugha ya baadhi ya wanaChadema ambayo imezoeleka na ambao hujikita kwenye matusi na hutumia nguvu nyingi Sana katika hili...
 
Wajumbe walikupa kura moja endelea kubwa kubwabwaja unadhani TBCCM HAO
 
Hahaha eti BBC hutangaza habari za ukweli mtupu...Asante...
 
Tundulisi si ana character zote za kibeberu , si bora jiwe ambaye hata kwao hataki kwenda
Watapeli sio Barrick ni magufuli na ccm....

Ndio wanaohadaa watz kwa kuomgo wao huku wakiwaita barrick wanaune....

Viongozi wa ccm wanamakubaliano binafsi na barrick sio kwa manufaa ya nchi bali ya viongozi hao wakuu kabisa wa mihimili..... Ndio maana wamekazana kutunga sheria ili waruhusiwe kuvunja katiba ya nchi na wasishitakiwe...... Mnadhani hii inamaanisha nn? Hii ndio maana yake halisi......

Tumsaidie Tundu Lissu tuikomboe nchi hii inayoendeshwa kihuni na kilaghai na magufuli na ccm
 

Hao maprofesa amewatunza vyeo huko BOT kwa kazi ambayo haikuwa kamili kufaidisha nchi!! Na hao hao ndio washauri wanaozidi kumdanganya mpaka sasa ccm na serikali hawana credibility kwa wananchi walio wengi.
 
Tungeshtakiwa MIGA leo ningempa kura Lissu

Kumbe alikuwa anatutusha tuwaachie goli wazungu wake[emoji3][emoji3][emoji3]

Viva Magu 2020 to 2030
 
Tungeshtakiwa MIGA leo ningempa kura Lissu

Kumbe alikuwa anatutusha tuwaachie goli wazungu wake[emoji3][emoji3][emoji3]

Viva Magu 2020 to 2030
Watapeli sio Barrick ni magufuli na CCM.

Ndio wanaohadaa watz kwa kuomgo wao huku wakiwaita barrick wanaune.

Viongozi wa ccm wanamakubaliano binafsi na barrick sio kwa manufaa ya nchi bali ya viongozi hao wakuu kabisa wa mihimili. Ndio maana wamekazana kutunga sheria ili waruhusiwe kuvunja katiba ya nchi na wasishitakiwe. Mnadhani hii inamaanisha nn? Hii ndio maana yake halisi.

Tumsaidie Tundu Lissu tuikomboe nchi hii inayoendeshwa kihuni na kilaghai na magufuli na CCM.
 
what happened to MIGA?

Ukiona ili neno unapata makengeza?

Viva Magu 2020 to 2030
 
what happened to MIGA?

Ukiona ili neno unapata makengeza?

Viva Magu 2020 to 2030
Mliomba barrick waondoe shtaka na ccm iondoe tuhuma za kuibiwa dola billion 191 za marekani huku watoto wenu wakisomeshwa bure nje ya nchi kwa ufadhili wa mabeberu barrick! That's what happened !
 
mliomba Barrick..... uko tayari kudanganya boss?
Ndio maana watz hatutawapa nchi....

Kuwa mkweli........

Viva Magu 2020 to 2030
Mliomba barrick waondoe shtaka na ccm iondoe tuhuma za kuibiwa dola billion 191 za marekani huku watoto wenu wakisomeshwa bure nje ya nchi kwa ufadhili wa mabeberu barrick! That's what happened !
 
hako kadada kanatangaza huku kana EMOTION hana uelewa wowote
 
what happened to MIGA?

Ukiona ili neno unapata makengeza?

Viva Magu 2020 to 2030
Kuna watu mnahoji mambo ya kijinga kabisa km sio watz. What happened to escrow? Meremeta? Rada? Uuzaji wa nyumba za serikali? Where is 1.5trn? Why chato international airport? Why mayanga why dotto james?

Watapeli sio Barrick ni magufuli na CCM.

Ndio wanaohadaa watz kwa kuomgo wao huku wakiwaita barrick wanaune.

Viongozi wa ccm wanamakubaliano binafsi na barrick sio kwa manufaa ya nchi bali ya viongozi hao wakuu kabisa wa mihimili. Ndio maana wamekazana kutunga sheria ili waruhusiwe kuvunja katiba ya nchi na wasishitakiwe. Mnadhani hii inamaanisha nn? Hii ndio maana yake halisi.

Tumsaidie Tundu Lissu tuikomboe nchi hii inayoendeshwa kihuni na kilaghai na magufuli na CCM.
 
Lia na Lissu apate urais japo haiwezikanii... jililie na hali yako.
Sintakuita zwazwa wala mzukule...

Mungu ametubariki kwa kutupa Magu

Viva Magu 2020 to 2030
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…