Ahaaa haaaa haaaa sasa kama kuna uhuru mbona yule mwanasheria akapotea halafu mkamuua. Kisa anatetea wananchi wanyonge.Tuliishi maisha ya namna hiyo ya uwoga uwoga miaka ya hapo awali na nashukuru Mungu huko tulitoka.
Utawala wa sheria ndio jambo la msingi siku zote. Taasisi zinaongozwa na utawala wa sheria na sio mihemko na ubabe wa mtu mmoja, akimka hivi mnaenda hivi, akiamka vile mnakwenda vile, ni hatari.
Ahaaa haaaa haaaa sasa kama kuna uhuru mbona yule mwanasheria akapotea halafu mkamuua. Kisa anatetea wananchi wanyonge.
Hamtakuwa huru mpaka Raila aingie madarakani.
Tunaposema hapa ni kazi tu hatumaanishi ni kukusanya revenue tu na kupambana na mafisadi bali hata ulinzi na usalama wa nchi.Huyo Raila ndiye kila siku analalamika kwamba nchi isirudi kwenye utawala wa mihemuko ya mtu mmoja. Labda awe anafanya hivyo kiunafiki.
Vipi mumemuachia Tundu Lissu, naskia hata neno "uchwara" halitajwi tena hadharani. Hehehe!! Sasa kwa jinsi Waswahili mnapenda kuongea ongea sana, hivi mnaishi vipi sasa, maana mumebanwa na kushurutishwa kubaki kimya muda wote. Naweza penda kuwaona jamaa fulani walikua wanapenda kujikusanya vijiweni na kumjadili Mkwere, sasa huyu hapa hilo kazima. Hajadiliwi, hahojiwi, na hakosolewi.....
Hehehe!! Naipenda nchi yangu, uhuru wetu muhimu sana, tuliupata kwa damu na jasho, hatukupokezwa kiulaini.
Ndugu hiki kiswahili chako hakijatulia. Bora cha BBChao ndo tunawaita ma cartel huku Kenya. . . mafisadi wenye nguvu na uwezo na influence...... alafu nadhani huwa wanajuana kama wanachama vile...hao watu hua na uwezo wa kupindua serikali ama kusmamisha serikali ikienda kinyume na matakwa yao.... hao watu hufanya kazi zao behind the scenes, hautawai waona kwa habari au magazetini ... hawaezi angushwa hivi hivi...ukitaka kuwaangusha enda kimia kimia (e.g kutumia watu wa intelligence -tena ikiwapata tulia kwanza, make sure umewapata wote ili badala ya kushika mmja mmoja, unawashika wote kwa mda mmoja ili wasisaidiane) usiwafywate kimabavu na nguvu, wanaeza vuruga setikali yako hautaamini