Return Of Undertaker,
Hamueleweki, mara mnadai bado tuko daraja lile lile mara misaada itapungua, vijana wa mbowe mna shida sana.
Lumumba mnatuchanganya juzi WB walikuwa mabeberu leo mara mnawaita wakweli.Ukisikia mtu kapigwa mpaka kapata maweru weru anaona nyota ndio hivi.
Kama ulingoni sasa hivi refer anaonyesha vidole unaulizwa hizi ngapi; mbili unasema nne mambo ya kuona double double.
Eti na wewe ni kiongozi wa UVCCM.BBC NI ZITTO!
Hata kuku wanae wakikua anawadonoa kama sio wake!Kwa furaha tunayofurahia ndio tujipange kwa sababu maumivu yanayokuja kwa kupanda daraja ni makubwa.
1. Misaada iliyokuwa inapata kama nchi maskini itakatwa
2. Mikopo iliyokuwa inasemwa nafuu itakuwa haipo tena.
3. Mikataba yenye unafuu wa kibiashara itakuwa tofauti ile dhana ya kusaidiwa inaondolewa kwa sababu unajiweza.
4. Misaada kama ya madawa mfano HIV inaweza kuondoleaa ikiwemo na baadhi ya chanjo.
Hivyo tujipange.
hahahaaaa.Mkuu ndani kwa ndani nilikuwa nawaza Kama wewe Ila nikaogopa kuandika kwa hofu ya kutukanwa
Amini alivyo tweet mzee wakoReturn Of Undertaker,
Hamueleweki, mara mnadai bado tuko daraja lile lile mara misaada itapungua, vijana wa mbowe mna shida sana.
Yaani uwe unaelewa au usiwe unaelwa. Tuwe hatueleweki au tuwe tunaeleweka, vyovyote vile, hata wewe kwenu kaka yako kama ana uwezo wa kumudu maisha yake misaada fulani utapunguza.. JUST NORMAL LIFE PRINCIPLE.. Lakini yule hohe hahe utampa hadi chumvi au kiberiti...Return Of Undertaker,
Hamueleweki, mara mnadai bado tuko daraja lile lile mara misaada itapungua, vijana wa mbowe mna shida sana.
Walioiona Tanzania kuwa inastahili kuingia uchumi wa kati wameona kuwa kwa sasa, ina uwezo wa kufidia pengo la misaada yote hiyo uliyoitaja, ikiwa ni pamoja na kuwa ina uwezo wa kutengeneza kipata kingine cha ziada juu ya misaada hiyo. We unaona uchungu Tanzania kuingia kwenye uchumi wa kati? JPM anaposema kuwa tunatakiwa kuwa donor country huwa unamwelewa, au unadhani ni Siasa? Subiri hadi 2025 utaona kitakachokuwa kimefanyikaKwa furaha tunayofurahia ndio tujipange kwa sababu maumivu yanayokuja kwa kupanda daraja ni makubwa.
1. Misaada iliyokuwa inapata kama nchi maskini itakatwa
2. Mikopo iliyokuwa inasemwa nafuu itakuwa haipo tena.
3. Mikataba yenye unafuu wa kibiashara itakuwa tofauti ile dhana ya kusaidiwa inaondolewa kwa sababu unajiweza.
4. Misaada kama ya madawa mfano HIV inaweza kuondoleaa ikiwemo na baadhi ya chanjo.
Hivyo tujipange.
Ujue watu kama hao wana maslaha yao makubwe nchi inapokua kwenye umaskini, maana hiyo misaada anayo zungumzia ndipo anapojipatia na yeye..Kwahiyo unashauri tupambane kurudi daraja la chini ili tuendelee kusaidiwa?
Unachowaza ndio walivyofanya, ni kunyooshwa huku.Return Of Undertaker,
Sijui ni mimi?
Nahisi hawa "mabeberu" wame factor up per capita income yetu makusudi ili tule jeuri yetu baada ya kusikia tunajiita eti "matajiri"!
[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwahiyo unataka tuendelee kuwa kuitwa Nchi maskini ilinradi tusikose misaada, hivi kipi bora kupambana ujitegemee au kuendelea kubweteka ili uwe wa misaada kila siku, wazia siku anayekusaidia akikosa uwezo utaishijeKwa furaha tunayofurahia ndio tujipange kwa sababu maumivu yanayokuja kwa kupanda daraja ni makubwa.
1. Misaada iliyokuwa inapata kama nchi maskini itakatwa
2. Mikopo iliyokuwa inasemwa nafuu itakuwa haipo tena.
3. Mikataba yenye unafuu wa kibiashara itakuwa tofauti ile dhana ya kusaidiwa inaondolewa kwa sababu unajiweza.
4. Misaada kama ya madawa mfano HIV inaweza kuondoleaa ikiwemo na baadhi ya chanjo.
Hivyo tujipange.
Umeelewa lkn tu unajitoa ufahamu.Return Of Undertaker,
Hamueleweki, mara mnadai bado tuko daraja lile lile mara misaada itapungua, vijana wa mbowe mna shida sana.
Tatizo sio mada bali ni mleta mada na kusudio la kuleta hii mada.Duh....!
Sijaona kwenye hii mada mahali kuna chuki.
Ni hatua nzuri tumeingia, lakini tunatakiwa tujipange sawasawa, kuna vitu tutakosa hivyo tunatakiwa kuchapa kazi zaidi na zaidi.