BBC: Urusi yakamata Magarivita ya USA yaliyotumiwa na magaidi ya Ukraine huko Belgorod, Marekani yajitenga na tukio hilo

BBC: Urusi yakamata Magarivita ya USA yaliyotumiwa na magaidi ya Ukraine huko Belgorod, Marekani yajitenga na tukio hilo

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
BBC yaripoti kuwa Urusi imewaua waasi 70 toka Ukraine waliojipenyeza na kuingia kwenye mpaka wa Russia na Ukraine, kwenye mkoa wa Belgorod, wakitumia magarivita ya Marekani ikiwemo MRAPs (Mine-Resistant Ambush Protected vehicles) na Humvees (The High Mobility Multipurpose Wheeled Vehicles).

Wachambuzi wa BBC waeleza kuwa tukio hilo la mpaka wa Urusi kushambuliwa na waasi toka Ukraine kwa kutumia magarivita na silaha za Marekani kunayapa nguvu madai ya Urusi kuwa ilianzisha vita ya Ukraine kwa sababu usalama na uhuru wake (Urusi) vilikuwa vikipangwa kuhujumiwa na magaidi ya Ukraine kwa msaada wa mataifa ya kimagharibi.

Chombo cha habari cha Marekani, The New York Times, kimeyatambua na kuthibitisha kuwa magari yaliyoonekana kuharibiwa au kushikiliwa (mazima) kwenye picha zilizochapishwa na Wizara ya Ulinzi ya Urusi kwenye tukio hilo la kigaidi ni ya Marekani. Hata hivyo Marekani imejitenga na tukio hilo ikidai kuwa haikusaidia kwa vyovyote ugaidi huo.

Tunaipa pole Marekani kwa kupoteza magari yake ya gharama kizembe kwenye tukio hilo. Hasa magari yake aina ya MRAPs (Mine-Resistant Ambush Protected vehicles) ambapo gari moja bei yake ni kati ya USD 500,000 hadi USD 1,000,000.
====

SmartSelect_20230524-064437_Chrome.jpg
Screenshot_20230524-064612_Chrome.jpg
Screenshot_20230524-064117_Chrome.jpg

Screenshot_20230524-064306_Chrome.jpg


Screenshot_20230524-064944_Chrome.jpg

SmartSelect_20230524-064907_Chrome.jpg

SmartSelect_20230524-070714_Chrome.jpg
 
Kamwe haitatokea Vita ya Direct Kati ya Urusi na Marekani na endapo watapigana hakuna mshindi.
Itabaki Vita ya uwakara tu na hakuna Taifa linaweza mfirisi mwenzake kwa uwakara sababu interejensia ya kila Taifa ni imara.
Russia alijua kuwa uvamizi utawepo na aina ya silaha zitakazo tumika ila hakuweka Ulinzi. Ilitakiwa athibitishie Dunia kwanini alianzisha SMO. Na wakati huu ameeleweka. Hata zile drones 200 AMBAZO zilitoka Ukraine zilishambuliwa lakini akaziacha 2 zijongee Ikuru hili apate fursa zaidi ya kui disarm Ukraine na kuidhoofisha NATO.
MPAKA JANA MUHUZAJI MKUBWA ULAYA WA MAFUTA NI URUSI. KUPITIA BOMBA ZINAZOPITA UKRAINE.
HII VITA WAKUBWA WANAJUANA ILA WANATAFUTA KIKI KWA ULIMWENGU PITIA MEDIA. BADO WANA MIKATABA IMARA YA BIASHARA NA ULINZI.
 
Anaogopa itabaki mikwala tuu ya mdomoni lakini hawezi kushambulia moja kwa moja marekani
Ashambulie moja kwa moja Marekani kwa sababu zipi?

Unajua maana ya USA kukakanusha?
Hiyo ni tamko rasmi la kidiplomasia, hi yo Urusi hawezi kufanya chochote.

Kama USA wamekanusha maana yake hawataki Shari.

Sasa akitaka Shari alkubali kuwa ni kweli Yuko nyuma ya hao magaidi na anawapa misaada kweli.halafu ndo uone Urusi atafanya Nini.
Afanye kama alivyofanya Libya Iraq yugoslavia na afghanistan.

HUko hakukanusha Bali aliingiza jeshi kamaili
 
Ashambulie moja kwa moja Marekani kwa sababu zipi?

Unajua maana ya USA kukakanusha?
Hiyo ni tamko rasmi la kidiplomasia, hi yo Urusi hawezi kufanya chochote.

Kama USA wamekanusha maana yake hawataki Shari.

Sasa akitaka Shari alkubali kuwa ni kweli Yuko nyuma ya hao magaidi na anawapa misaada kweli.halafu ndo uone Urusi atafanya Nini.
Afanye kama alivyofanya Libya Iraq yugoslavia na afghanistan.

HUko hakukanusha Bali aliingiza jeshi kamaili
Ni ujinga kuamini Urusi anaweza kuishambulia US. Hata US akikiri hadharani US atafanya nini ? vitu vingine ni diplomasia tu. Na wewe unaamini Urusi hajui wahusika wa kweli ni wapi?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
hakuna haja kushambulia USA kwa tukio hilo tunajua ni askari mashoga marekani wameshindwa walichotarajia na kuishia kuchakazwa
 
Hiv kwanin Russia hatest mitambo yake kwa USA??!!
Check hapa

 
Anaogopa itabaki mikwala tuu ya mdomoni lakini hawezi kushambulia moja kwa moja marekani
Anawtakiwa kushambulia ni Marekani na sio Russia maana tangu mwanzo Russia hana muda na Marekani (ana-operate ukraine huko).

Kama hapo magari yamekamatwa yakiwa Ukraine ila Marekani kajitenga nayo, nini maana yake? Maana yake hata huyo marekani bado hawezi kuingia kwenye vita moja kwa majo.
 
Kamwe haitatokea Vita ya Direct Kati ya Urusi na Marekani na endapo watapigana hakuna mshindi.
Itabaki Vita ya uwakara tu na hakuna Taifa linaweza mfirisi mwenzake kwa uwakara sababu interejensia ya kila Taifa ni imara.
Russia alijua kuwa uvamizi utawepo na aina ya silaha zitakazo tumika ila hakuweka Ulinzi. Ilitakiwa athibitishie Dunia kwanini alianzisha SMO. Na wakati huu ameeleweka. Hata zile drones 200 AMBAZO zilitoka Ukraine zilishambuliwa lakini akaziacha 2 zijongee Ikuru hili apate fursa zaidi ya kui disarm Ukraine na kuidhoofisha NATO.
MPAKA JANA MUHUZAJI MKUBWA ULAYA WA MAFUTA NI URUSI. KUPITIA BOMBA ZINAZOPITA UKRAINE.
HII VITA WAKUBWA WANAJUANA ILA WANATAFUTA KIKI KWA ULIMWENGU PITIA MEDIA. BADO WANA MIKATABA IMARA YA BIASHARA NA ULINZI.
Moja ya sifa kubwa ya mtu hatari nikutojibu mashambuliz. Kiufupi Russian anajitekenya sana ila Europe na USA wanasubiri avuke red line. Dunia iyone might power zao. Na sio siri mama mkanye mwanao Putin hana muda hatutamsikia tena just keep silence. CIA wameshajuwa ujinga anaufanya na vile wata neutralize silence 🤐
 
Back
Top Bottom