KWELI MUHUNI JK KATU HATUMPI NCHI TENA. Labda aichukue tena kwa kuchakachua.Jamani mkimpa Slaa,cjui wapi atatoa wawekezaji,mmh jamani angalieni Slaa anaudini sana,mkimpa kura mjue nchi itakuwa ya Mayahudi n Maroma,aha ndio maana sera za CHADEMA N CUF HURUHUSIWI KUWA NA MKE,JAMANI MSIJE MKAMPA NCHI MHUNI AITAWALE
Hivi ni nani aliyekudanganya kuwa wanaohudhuria mikutano ya Dr wa kweli hawajajiandikisha kupiga kura? Unajidanganya, Dr Slaa sio Mrema wa 1995. Hiki ni kitu tofauti kabisa. HATUDANGANYIKI
Huyu anayesema kuwa wengi wa waliohudhuria mikutano ya Dr.Slaa hakujiandikisha alifanya utafiti huo au ni kada wa CCM anayefuata mkumbo?!!BBC wanaogoa Slaa akiichukua nchi nchi yao haitainyonya Tanzania tena!
Yaani maneno matatu ya kiingereza makosa kibao (to congratulations or to congratulate?). Matatizo ya shule za kata!
matokeo bado wana payuka tu haoo bbc kwanini wasifanye uchunguzi