Joram kiango
Member
- Aug 25, 2013
- 82
- 16
hiyo kozi ni nzuri kidogo, mbaya kiasi, huwezi ajiriwa popote, unaweza ajiriwa mahari fulani, mshahara wake ni kiduchu, waweza lipwa mshahara kila baada ya siku moja na nusu plus dakika tatu point nne minus sifuri point yero.....VP UMEELEWA MKUU?
hiyo kozi ni nzuri kidogo, mbaya kiasi, huwezi ajiriwa popote, unaweza ajiriwa mahari fulani, mshahara wake ni kiduchu, waweza lipwa mshahara kila baada ya siku moja na nusu plus dakika tatu point nne minus sifuri point yero.....VP UMEELEWA MKUU?
Nimechaguliwa hii programe ila cjui chochote na prospectus ya udom inazingua. Naomba ufafanuzi kuhusu bcom in finance course gani ziko ndani yake, soko la udom kwenye hii programe na ukimaliza unaweza fanya kazi gani. Ahsante.