BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Habari,
Ukiwa umesomea Bcom pale UDSM unapata exemptions ngapi za mitihani ya ACCA?
Na kama umesomea ADA pale IFM pia unapata exemptions ngapi za ACCA?
Mnisaidie kwa hili wakuu.
Mucho gracias!!!...
Salama!
ACCA wamebadilisha syllabus tangu nilipokuwa involved nao mara ya mwisho - lakini huwa hawana "blanket exemptions" ila huwa wanamu-assess applicant on his/her own merit. Check link hii: Page not found | ACCA
For a BCOM (Accounting) Graduate an exemption of four papers that is F1 to F4 is granted though you have to pay for the exempted papers just like what you do with the NBAA. For the rest I have no idea for at the moment.
All the best!!
Ukiwa umesoma Bcom FInance wanaexempt F1 to F3 lakini katika application ukisubmit course outline ya business law zote ulizosome wanakuexempt mpaka f4, mimi nilifanikiwa kwa hili niPM nikutumie hizo cource outline kama huna
Habari,
Ukiwa umesomea Bcom pale UDSM unapata exemptions ngapi za mitihani ya ACCA?
Na kama umesomea ADA pale IFM pia unapata exemptions ngapi za ACCA?
Mnisaidie kwa hili wakuu.
Mucho gracias!!!...[/QUOTE]
Yaani wewe unanitukana hivi hivi tu, haya bana mi nakumezea tu!.
Habari,
Ukiwa umesomea Bcom pale UDSM unapata exemptions ngapi za mitihani ya ACCA?
Na kama umesomea ADA pale IFM pia unapata exemptions ngapi za ACCA?
Mnisaidie kwa hili wakuu.
Mucho gracias!!!...[/QUOTE]
Yaani wewe unanitukana hivi hivi tu, haya bana mi nakumezea tu!.
Yego baba, wachamae!!..
sijakutusi Acha kunimezea..nilimaanisha 'Asante Sana' .....:smile:
Ukiwa umesoma Bcom FInance wanaexempt F1 to F3 lakini katika application ukisubmit course outline ya business law zote ulizosome wanakuexempt mpaka f4, mimi nilifanikiwa kwa hili niPM nikutumie hizo cource outline kama huna
Mkuu nimejaribu kukuPM ila hupokei hizo PM..naomba unitumie hizo course outline..natanguliza shukrani mkuu!!
Whaao!Thanx for useful information...sasa mkuu wewe ulifanya ACCA au CPA? au zote?
Many thanks for wishes...mwaka huu nataka nifanye angalau 2 papers!!
Belinda Jacob, japo hatujuani, kwa jinsi unavyoandika na jinsi una argue, unaweza kuimagine member fulani yukoje.
Sio siri mimi ni mmoja wa wanaokukubali sana, na sasa ndio nimejua, kumbe wewe ni kichwa unapandisha number kihivyo!.
Hongera and all the best.
Pasco.
Yego baba, wachamae!!. .
sijakutusi Acha kunimezea..nilimaanisha 'Asante Sana' .....:smile:
Hapo sasa ndo umemtusi maana sidhani kama baba aanasalimiwaga chamae
NiPm nimeishafungua nitakutumia
Belinda Jacob, japo hatujuani, kwa jinsi unavyoandika na jinsi una argue, unaweza kuimagine member fulani yukoje.
Sio siri mimi ni mmoja wa wanaokukubali sana, na sasa ndio nimejua, kumbe wewe ni kichwa unapandisha number kihivyo!.
Hongera and all the best.
Pasco.
Ukiona mtu anatumia maneno kama mkuu pata habari yake:juggle::juggle:
Belinda,
Wellcome to this thing ACCA, I am just done with it last Dec! It is one of the most respected proffesion in accountancy! I always advise people if you are in accountancy and thinking of doing masters (MBA eg) and not ACCA, i think you might be wasting time. I live it, imenitoa kimasomaso!
Hongera sana it is a right choice in business management.
What you need to do, try to defend you points in terms of exception coz the moment you give out course outline you may be given a lot. Like mzumbe guys who are doing BAF, wako na so many exceptions. unakuta kati ya 14 papers they are exemted up to 7
Hapo sasa ndo umemtusi maana sidhani kama baba aanasalimiwaga chamae
Belinda,
Wellcome to this thing ACCA, I am just done with it last Dec! It is one of the most respected proffesion in accountancy! I always advise people if you are in accountancy and thinking of doing masters (MBA eg) and not ACCA, i think you might be wasting time. I live it, imenitoa kimasomaso!
Hongera sana it is a right choice in business management.