BCom ya UDOM mashaka matupu - Department Haina Majibu

Kwanini tatizo lisitatuliwe? Hivi chuo kikubwa kama hicho , majengo ya kutisha halafu elimu duni maana yake nini? Mgt inashindwa nini kutafuta ufumbuzi? Tunataka quality education na siyo mradi degree tu za bila viwango, fanyieni kazi haraka hilo tatizo acheni siasa siasa zenu
 
Wewe umeorodhesha maBcom mengi na unasema 1 ndiyo yenye matatizo alaf hauitaji ni ipi kati ya hizo,ni afadhali nimuamini mtoa uzi kuliko wewe maana unatoa habari nusu nusu,na hausemi kwa nini hiyo Bcom.1 ina matatizo.

haujaelewa kwa sababu maana ipo ndani ya maeleza na sijaiandika peupe kama ukisoma hiyo post na kuunganizha na mleta uzi ungenielewa. Kwa kifupi ni hiyo b.com account.
 
Udom kumejaa madudu. Wanafunzi wanafurahia majengo tu.
 
Duh kila kesi ni UDOM na mwaka huu bcom udom weng ni not eligble
 
kuna watu wanaongea vitu alafu hawana ufahamu navyo,ni vyema mkauliza kisha kabla ya kutupia post,udom kama udom hakuna kozi inayoitwa bcom,na department ya business studies ilichokuwa inataka ni udom kuwa exmpted,kuwa exempted mana ake wahitimu(hususan wa bcom accounting)kuanza na module E Badala ya module A,na NBAA hawakukataa kukisajili bali kiliwaambia wafate syllubus yao na ndo mana utaona(2012/2013) account & finance ya udom imekuwa ya kibaba zaidi,na hivi sasa chuo kimekuwa exempted na kuna wana kibao wa udom washalamba iyo Module E wanafukuzia F,kwa iyo ushauri wangu watu tusiropoke ropoke mambo tusiyoyajua,mnatuharibia sokoni ni vyema muwaache wenye kujua waongee mambo haya,na kama kuna mtu ana mashaka na account ya udom atafute wadhamini itungwe pepa yoyote anayotaka ikatungwe popote kule afu tukae ubaoni man 2 man.
 
UDOM Degree = na certificate ya acounting & finance ya CBE teh teh ,
 
KAMA UNATAKA KUFAULU MITIHANI YA NBAA NA PSTB NENDA MUCCoBS
 
ninachojua ni kwamba wanafunz wa udom wanaanzia module E na rafiki zangu wengi teyari wameshagraduate huko NBAA walisoma Bcom accounting udom na kwa taarifa ni kwamba mkuu wa department sio tena Njiku kwa sasa ni mwingne anaitwa Mwakapala yeye ana kiwango chake cha elimu ni ngazi ya master
 
Mitihani imejaa clues tupu!wahadhiri bado wachanga sana!kina profesa osa-ki wawekeni vijana sawa!
 

Ngoja engmtorela mtetezi wa UDOM akusikie.
 
Mnaniacha hoi na masomo ya biashara!yaani hamtambuliki mpk mpitie NBAA na PSPTB,wakati Geology,education,wildlife,molecular biology,economics,statistics ukimaliza unapeta2.
Ushauri kwa wanaopenda kuajiriwa especially waliosoma PCB,CBG soma livestocks,agric,pharmacy etc. adv.math e.g EGM,PCM,PGM etc.haina haja ya kubanana ktk accounts,procurement.soma B.A STATISTICS au MONITORING&EVALUATION,hautasumbuka sana kupata ajira.usiangalie majina ya kozi.UHASIBU,PROC. kila mtu anakimbilia,matokeo yake hadi uje utambulike ufanye mitihani mingiiii!
 

hujielewi kweli wewe , hata engineers wana erb, lawyers wana school of law
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…