Be forwad tawi la Dar es salaam

Aadilu

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
645
Reaction score
463
Naombeni mnijuze ninyi wakazi wa dar, nataka kununua Gari Japani kupitia Be forward, Je hilo tawi la dar es salaam linaweza kunifanyia clearing nikaipata gari? Itachukua siku ngapi mpaka gar iwe mikononi mwangu. Je gharama zao kwa gari ndogo kama toyota Brevis inakadiriwa kufika shilingi ngapi? Nijuzeni tafadhali
 
Mkuu nashukuru...nia yangu ni kupata mtu ambaye ameshawahi kuitumia hiyo huduma kutoka kwao ili anipe hali halisi ilivyo
 
Mkuu nashukuru...nia yangu ni kupata mtu ambaye ameshawahi kuitumia hiyo huduma kutoka kwao ili anipe hali halisi ilivyo

Wanafanya clearing na gharama kwa gari ndogo was 200,000 kwa mwaka jana, muda itategemea na meli kushusha na processes za bandari na tra.
 
Wanafanya clearing na gharama kwa gari ndogo was 200,000 kwa mwaka jana, muda itategemea na meli kushusha na processes za bandari na tra.
Nashukuru bwana kingo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…