Be Married to Your Own Spouse

Paul Kijoka

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2010
Posts
1,399
Reaction score
255
Ndugu zangu wana jamii forum, kuna kitabu nimesoma chenye title hapo
juu,nafikiri kinagusa mambo yanayoendelea kwenye jamii yetu.maonaje mkisome kisha tukijadili kwenye thred?kinapatikana Salamanda bookshop Samora Avenue na Sumi bookshop Survey.
 
Mbona kama unakipigia chapuo kidzaini flan kavip c utudropishie hiyo story.
 
hapo sasa??
kwenda kununua KITABU???
Hio ni kazi ngumu, unaonaje ukitusimulia kidogo? ili na sie tuseme tumekisoma?
 
mmh acha ujanja weewe
advtsmnet gan izo?


km nia yako ingekuwa kutupa mawaidha ya kitabu basi ungeyasema na kuwashauri watu wakitaka more wwapate wap..lakin si front tu et kitabu iki kinauzwa pale,....mmh mhh apana...jipange tena thats z too cheap...
 
Ndugu zangu wana jamii forum, kuna kitabu nimesoma chenye title hapo
juu,nafikiri kinagusa mambo yanayoendelea kwenye jamii yetu.maonaje mkisome kisha tukijadili kwenye thred?kinapatikana Salamanda bookshop Samora Avenue na Sumi bookshop Survey.

afu una swaga za ualimu pia...like ..kesho kutakua na test kamsomen sana aristoto na socrates nenden flow ya pil kuna vtabu nimeviweka braaaaaaa braaaaa braaaaa....tokazako ebu tumia jukwaa la matangazo kutangaza kitabu chako uko ndo utajifaragua vya kutosha na wateja utawapata ....BT THANK U ...i wl buy t...
 

Rose acha utani. Unajua wewe umezaliwa mwaka wa neema 1980 eh, alafu avatar yako inaonekana kitakufaa. Acha kuwachukia Walimu lkn pia na kuwaona kama watu wa kupiga huu saaanaaaa. We kisome tu.
 
Rose acha utani. Unajua wewe umezaliwa mwaka wa neema 1980 eh, alafu avatar yako inaonekana kitakufaa. Acha kuwachukia Walimu lkn pia na kuwaona kama watu wa kupiga huu saaanaaaa. We kisome tu.

point of crctn braza;
1.siwachukii walimu nawapenda sana cz wamenisaidia kunitoa kwenye ujinga
2.sjazaliwa 1980 nimezaliwa 19.........
3.avatar yangu na kitabu inauhusiano gan babu wewe?
4.ukiniletea ntakisoma...ninunulie kaka....

my concern is;KATUMIA MBINU DUNI KWENYE KUKITANGAZA KITABU.

Nawasilisha
 
Mbona kama unakipigia chapuo kidzaini flan kavip c utudropishie hiyo story.

Ukweli ni kizuri na mwandishi ni mzalendo. Kinatoa maalifa mengi kuhusu ndoa na namna ya kumfanya mpendae awe wa kwako kwa maana kwamba kimejikita katika maarifa ya jinsi ya kuboresha ndoa na uchumba kwa ujumla
 

Kwingine kote nakubali yaishe ila kidogo nifafanue hapo penye kijani
1. Ntakuletea wapi dada Rose?
2. 'Katumia' nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…