Be Trippin'

Nalendwa we are in chit-chat right!?.. lemm ask a question. Hivi kuna uhusiano gani wa screenshot na lotta notification showing, sababu huwa naona wengi wanaotuma screenshot lazima uone Notification Bar limechafuka!.
Its just chit-chat blah blah!.πŸ™‚
 
Hahaha!, sawa bwana.
Chaguo jema maana mg! 😁
Aisee haya mengine naomba nisiingilie kabisa maana inaoneka hili chaguo linamhusu mtu.
Mimi nimesikiliza muziki mzuri tu na kuchukua zangu time.
😎😎😎😎😎😎😎
 
Somethings never change,
Hapo nimeona notifications za Reuters teh teh teh!
komredi Nalendwa lazima alikuwa anakula habari za Syria na Kavanaugh!
 


Teh!, kwa kweli personally mie huwa na delay ku check notifications ndo maana unaona hivyo. Nyingine huwa na save na ku check baadae..
 
Aisee haya mengine naomba nisiingilie kabisa maana inaoneka hili chaguo linamhusu mtu.
Mimi nimesikiliza muziki mzuri tu na kuchukua zangu time.
😎😎😎😎😎😎😎


Hahaha!, huyu dada katisha lakini.

Sio ku Trip kiasi hiki aseh.
Huku ndo kufa na kuoza kabsa kwa ajili ya mtu!.😁
 
Hahaha!, huyu dada katisha lakini.

Sio ku Trip kiasi hiki aseh.
Huku ndo kufa na kuoza kabsa kwa ajili ya mtu!.😁

Hahahahaha,
Wewe Nalendwa, naona unataka mimi niongelee mengine nje ya The Good Muzik ulioleta hapa.
Nikianza kuongea hapa yatazaliwa maswali mengi mnoo...Nasikiliza mziki tu
 
Somethings never change,
Hapo nimeona notifications za Reuters teh teh teh!
komredi Nalendwa lazima alikuwa anakula habari za Syria na Kavanaugh!
kuna uzi mmoja nimepita huko International, pro russian wanazisifia s-300/400 ze kokuyo kaitwa kaishia cheka tu!.. Labda Komredi wake ndio anamtafutia mashambulizi warudi uvamia πŸ˜€πŸ˜€
 
Teh!, kwa kweli personally mie huwa na delay ku check notifications ndo maana unaona hivyo. Nyingine huwa na save na ku check baadae..
sasa kuna wengine unakuta tethering hotspot ipo on, sms kawaida, viber, whatsap, Ig,snap, fb, Jf yani vuruvuru mpaka unajiuliza huyu mtu R. Mengi nini!..[emoji23]
 
Hahahahaha,
Wewe Nalendwa, naona unataka mimi niongelee mengine nje ya The Good Muzik ulioleta hapa.
Nikianza kuongea hapa yatazaliwa maswali mengi mnoo...Nasikiliza mziki tu

Afadhali tusikiize mziki tu kwa kweli...LOL! πŸ˜πŸ˜‚

Teh! Halafu umeweka See First kwa kila notification!
Hahahaha aiseeee, wewe ni balaaa.....
 
kuna uzi mmoja nimepita huko International, pro russian wanazisifia s-300/400 ze kokuyo kaitwa kaishia cheka tu!.. Labda Komredi wake ndio anamtafutia mashambulizi warudi uvamia πŸ˜€πŸ˜€


Hahah!, nimeuona huo pia!
Lakini Pro Russia bhana wakianzaga huwa hawamalizi. Naona ze kokuyo huwa anawalia timing tu. Akiingia anayadondosha halafu huyo anasepa..😁
 
Hahah!, nimeuona huo pia!
Lakini Pro Russia bhana wakianzaga huwa hawamalizi. Naona ze kokuyo huwa anawalia timing tu. Akiingia anayadondosha halafu huyo anasepa..😁
Mmekamatika kule siwaoni kurudisha!!.. Na hivi kuna mmoja kaleta comparison ya PAC-3 na S-300 basi ndo mmeufungia milango kabisa ile nyuzi!.. Hahahh
 
Mmekamatika kule siwaoni kurudisha!!.. Na hivi kuna mmoja kaleta comparison ya PAC-3 na S-300 basi ndo mmeufungia milango kabisa ile nyuzi!.. Hahahh


Hahah!, ngoja tujipange! 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…