Baada Ya Hapo Yanajifia Yenyewe Maana Yanabeba Laana Ya Kupora KuraYatatumika kwenye harakati za wizi wa kura.
Hiyo inasaidiaje katika kuongeza tija ya kazi za kipolisi hapa Tanzania?Lenco BearCat wanatengeneza armored vehicles kwaajili ya majeshi mbalimbali Duniani, ikiwemo SWAT.
View attachment 3216896
Kwa sasa Jeshi la Polisi wameleta vyuma ivyo kwaajili ya kurahisisha kazi zao.
View attachment 3216897
Model ilioletwa ni G3 ambayo imeonekana ikisimamia swala la ulinzi siku hizi mbili.
View attachment 3216905
Hii chuma ina engine ya V8 6.2L, turbo-diesel ikiwa na 6 speed transmission na max speed ya 150 km/h.
View attachment 3216906
Usiione ndogo, wanakaa askari 10-12 na kuna storage ya gears.
View attachment 3216907
Amani iendelee.
Yatatumika kwenye harakati za wizi wa kura.
Sanasana kusafirisha masanduku ya kura feki kwenye uchaguzi.
Bad enough, magari Kama haya yanakuja kuangamiza maisha ya Watu Raia wema badala ya kuja kuwa msaada kwa hao Watu.Maandalizi ya uchaguzi.
Nakumbuka Hyundai za polisi zilikufa zote baada ya miaka 3... tukumbuke haya magari ni asante ya serikali ya china baada kupewa migodi ya dhahabuBaada Ya Hapo Yanajifia Yenyewe Maana Yanabeba Laana Ya Kupora Kura
Baada ya miaka mitano hizi unazoziona leo hazitakuwepo. Zile Haval za Polisi ziko wapi?Pick up za kichina zimeanza kuwa nyingi barabarani nahisi baada ya miaka mitano zitakuwa nyingi kama Hilux.
Nimekutana na foton pick up ni balaa Sana Ile design yake, hawa wachina Wana hatari sana
Hatuhitaji hizi gari mitaani kwakuwa hatuna kitisho chochote kikubwa cha usalama.. Basi tu sifa zetu za kinanihiiLenco BearCat wanatengeneza armored vehicles kwaajili ya majeshi mbalimbali Duniani, ikiwemo SWAT.
View attachment 3216896
Kwa sasa Jeshi la Polisi wameleta vyuma ivyo kwaajili ya kurahisisha kazi zao.
View attachment 3216897
Model ilioletwa ni G3 ambayo imeonekana ikisimamia swala la ulinzi siku hizi mbili.
View attachment 3216905
Hii chuma ina engine ya V8 6.2L, turbo-diesel ikiwa na 6 speed transmission na max speed ya 150 km/h.
View attachment 3216906
Usiione ndogo, wanakaa askari 10-12 na kuna storage ya gears.
View attachment 3216907
Amani iendelee.
Shida ya mchina ni hapo kwenye ubora TuBaada ya miaka mitano hizi unazoziona leo hazitakuwepo. Zile Haval za Polisi ziko wapi?
Nipenda sana hizi tactical vehicle, very interesting. Wasiishie ku mordenize vehicle bali na mtaala na mafunzoLenco BearCat wanatengeneza armored vehicles kwaajili ya majeshi mbalimbali Duniani, ikiwemo SWAT.
View attachment 3216896
Kwa sasa Jeshi la Polisi wameleta vyuma ivyo kwaajili ya kurahisisha kazi zao.
View attachment 3216897
Model ilioletwa ni G3 ambayo imeonekana ikisimamia swala la ulinzi siku hizi mbili.
View attachment 3216905
Hii chuma ina engine ya V8 6.2L, turbo-diesel ikiwa na 6 speed transmission na max speed ya 150 km/h.
View attachment 3216906
Usiione ndogo, wanakaa askari 10-12 na kuna storage ya gears.
View attachment 3216907
Amani iendelee.