Beauty of The Day: Juliana Shonza

hiyo picha ya kwanza alikuwa anafanya nn...anaonekana kama anapata maumivu sehemu moja ya mwil wake
 
Juliana Shonza kweli ni mrembo but she need to get her life hizi Siasa za bongo is a waste of time for her as hakuna cha maana zaidi ya kuwa used na mwisho wa siku atakumbuka when it is too late ndo mwanzo wa depression na hypo manic episodes...... Akisikia ushauri she has more other productive things to do kuliko hizi Siasa zisizo na mbele wala nyuma......
 
Last edited by a moderator:
uzuri wake mbona wa kawaida au rangi.
 
wewe tanmo huna akili kweli hutumii hata ujanja kwenye kimpiga pichha ungempiga kwa mbali icngekuwa na shida
 
Msitualibie siku bwana Huyu Msaliti tangu lini akawa mzuri wakati ametumika mpaka akaisha. Hapa akitaka kujibu ni lazima hatupie neno kwa Dr. au KUB hata kama anaenda kuk...a ni lazima akumbuke Dr. na KUB
 
Mmh! Kweli leo nimeamini uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu.
 
Hana uzuri wowotee labda mpaka ajimakeup naona hapend ila yupo natural ila kwenye mabeauty bado naona TAnmo una utani na sieee
 
Hana uzuri wowotee labda mpaka ajimakeup naona hapend ila yupo natural ila kwenye mabeauty bado naona TAnmo una utani na sieee

Mkuu
wewe unamfikia huyu hata robo kwa uzuri??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…