Beef kubwa kati ya almas mzaambele na wcb_wasafi

kifimbocheza_

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
1,119
Reaction score
1,095
Huyu jamaa nakumbuka alikuwa mkereketwa sana wa lebel ya domo ya wcb_wasafi but navoona kinachoendelea kwenye mitandao inaonesha kuna mtafaruku mkubwa sana kati yao. Mara nyingi huwa naona anakoment kwa kuwaponda sana wasafi, kweli nimeamini rafiki yako wa leo ndo adui yako wa kesho siamini kabisa nachokiona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaingiza siku mwenzao bhana. Wao je??
 
Ukiona unasifiwa na adui yako, jua kabisa unachokifanya unakosea au sio sahihi lkn ukiona adui yako anakuponda basi jua unachokifanya ni sahihi na ni kizuri na ndio maana kina mkela kwani anafurahi kuona mabaya zaidi yakitokea upande wako
 
Mwanamme kama huyo lazima atakuwa na hitilafu kichwani...kama wanaume wenzio wanakukataa hupati kuwa na wivu na roho ya uchungu,best revenge ni kutafuta shughuli halali,ufanye kwa juhudi sana sana afu matunda yake ndio kisasi chao.
 
Issue kama hizi mara nyingi zinakuwaga za kikuda tu. We angalia hapo juu kuna mtu anajiita "Katibu wa Wambea", halafu huyo mwenyewe anajiona mwanaume huyo. Hovyo kabisa.
 
Ule wimbo wa "Sitaki mazoea wa bilnas naupenda sana.. Naona huyo dogo wa kigoma amepagawa.. Kufukuzwa WCB hatakiwi kuishi kwa hasira
 
Ukiona unasifiwa na adui yako, jua kabisa unachokifanya unakosea au sio sahihi lkn ukiona adui yako anakuponda basi jua unachokifanya ni sahihi na ni kizuri na ndio maana kina mkela kwani anafurahi kuona mabaya zaidi yakitokea upande wako
Umenikumbusha Nape nnauye alivyoitwa hero na CDM,na JPM anavyokosolewa sasa.
 
Mwanamme kama huyo lazima atakuwa na hitilafu kichwani...kama wanaume wenzio wanakukataa hupati kuwa na wivu na roho ya uchungu,best revenge ni kutafuta shughuli halali,ufanye kwa juhudi sana sana afu matunda yake ndio kisasi chao.
Uko sahihi kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…