Beef la Zari na Wema limerudi tena

Status
Not open for further replies.

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Beef ya @zarithebosslady na @wemasepetu inasemekana eti imerudi tena, kama unakumbuka awali Zari alimshutumu Wema Na Team Yake kwa kumdhihAk Tiffah Kuwa ni zombie na c mtoto wa Chibu kwa damu,

Baada ya kusemekana kuwa ujauzito wa Wema umeharibika. Safari hii mama T amekua wa kwanza kurusha kombora na kudai kuwa eti kile kibend cha Sepenga sio cha kweli, kwani alijaza mito ya Kulalia tumboni, na ule mchezo wote ni movi.

Source: Snapchat

Inasemekana eti..

 

Attachments

  • 1455869940466.jpg
    11.1 KB · Views: 345
Unataka DNA kwa mtoto asiyekuhusu kwa lolote hata kama si wa DIAMOND ndio unataka iweje wamnyonge au .......acha alee hata kama sio chake wewe utapungukiwa nini ?????
 
Aione Nifah
 
Itakuwa vyema kama Tiffah hatarithi hii tabia..

Unajuwa unapokuwa na hii kitu ya kureply karibu kila ujinga ujinga unaoendelea, na muda mwingine kufikia hatua ya kukaanalo moyoni na baada ya muda unalipuka inaonyesha jinsi gani upo weak na haujiamini..

She can be better than this...!!
 
The drama continue........................!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ila hiki kizee (in mange's voice) kinapenda kweli kiki
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…