Khe upo dunia hii hii au Pluto?Sikufanikiwa kuiona
Nipo marsKhe upo dunia hii hii au Pluto?
Hahaha....ndo maaanaNipo mars
Shoga una mijinenoooo looh shkamoo aiseee sio kwa jichambo hiloMabzness ayatoe wap yote ya mmewe Yale kabaki tyu sura ndefu km ubao wa kuzikia
Point of correction bidada me ni dume tena rijaliShoga una mijinenoooo looh shkamoo aiseee sio kwa jichambo hilo
Kwa Kip hasa alichokua nacho huyo zaituni?...au vile vitako km vigoma vya daku ndo vinakutoa rohokiboko ya timu wema ni Zari naona wamefyata kimyaaaaa sijui ndio wanaanua matanga yetu macho sie 😛😛😛
anakila kitu yule kuanzia uzuri mpaka kujituma embu mfananishe na nduguyo yeyote mwenye age yake ndio utaona usiongelee kishabika kuwa halisiKwa Kip hasa alichokua nacho huyo zaituni?...au vile vitako km vigoma vya daku ndo vinakutoa roho
Hpo kweny uzur big NO....Yule miss photogrid hawez mpata madamanakila kitu yule kuanzia uzuri mpaka kujituma embu mfananishe na nduguyo yeyote mwenye age yake ndio utaona usiongelee kishabika kuwa halisi
Masikini Zari hana furaha kwenye mahusiano yake....huu muda anautoa wapi na mmetutanabahisha kuwa huyu dada yuko na mabusiness lukuki!
uyo madam sio age yake huwezi fananisha hao nimekwambia angalia mtu mwenye umri sawa yaani 30 something hivi, pia photogrid insta wachache hawatumii kila mtu anajiosha nayoHpo kweny uzur big NO....Yule miss photogrid hawez mpata madam
zari 40uyo madam sio age yake huwezi fananisha hao nimekwambia angalia mtu mwenye umri sawa yaani 30 something hivi, pia photogrid insta wachache hawatumii kila mtu anajiosha nayo
madam linganisha na kina jojo,uwoya na wolper ndio age mate wake
Anakuachaje kwa mfano, anakuogopa au ....... Bill gates,Dangote na Buffet wenyewe wanao muda wa kusoma mitandao itakuwa Zari akose muda wa kumjibu huyo takataka.Masikini Zari hana furaha kwenye mahusiano yake....huu muda anautoa wapi na mmetutanabahisha kuwa huyu dada yuko na mabusiness lukuki!
Na Kuni zenyewe katupilia mbali, Kibiriti kakitumbukiza kwenye Maji.Wema alimwaga mboga zari kamwaga ugali kazima moto katoboa na sufuria