NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Kwa hiyo basi mshindi alikuwa escobar nass[emoji23][emoji23][emoji23] seriously? XXLMAG says ether was way better than take over because it ignoerd the bullsh.t and brought some true facts that made Jay Z cry. Ukiandika best disstracks kwenye hip hop facts mbalimbali ether inakua juu ya take over.
THE FACT AMBAYO WATAALAM MBALIMBALI WA HIP HOP WANAZUNGUMZA NI KWAMBA TAKE OVER ILIKUA ATTACK KUBWA AMBAYO HAWAKUTEGEMEA NAS ANGETOA REPLY AMBAYO INGEMUUMIZA JAY Z. SO WHEN ETHER CAME WITH GOOD CLARIFICATIONS AND MATURED FACTS AND CONFESSIONS IKAHESABIWA KUWA NAS NI HATARI NA HIP HOP COMMUNITY YOTE IKASIMAMA NA KUMPA SALUTE.
Sasa hapa kwa kipaji na uwezo nas ni zaidi.Sababu moja na kuu ni Take over ina-attack career ya Nas kwenye rap, sio Nas as a person tu.
Nas alipewa elimu ya biashara na muziki. Alifanya kazi, waliofaidi ni wengine, Jay akiwemo.
" So yeah, I sampled your voice you was usin' it wrong, You made it a hot line, I made it a hot song/
And you ain't get a coin, nigga, you was gettin' fucked then, I know who I paid, God – Serchlite publishin' / "
Jay challenges Nas kufanya kazi, na kazi zenye kiwango. Sio kulalia Illmatic tu.
" Four albums in 10 years, nigga? I could divide /
That's one every… let's say two, two of them shits was doo /
One was "nah," the other was Illmatic,
That's a one-hot-album-every-10-year average/ "
Fact checking. Large Prof alitoa ushahidi wa Jay kumuinyesha Nas bastola kwenye hiyo tour.
" I showed you your first TEC on tour with Large Professor /
Then I heard your album about your TEC on the dresser / "
Ether ni vijembe na matusi ya kitoto tu.
Well that was major, whatever the circumstances were going through,If you can't best them ,join them.y'all yaping about ether as a classic and for the record it wasn't if we ain't talking about the whole feud.Hov murded Nas.Ether was way too emotional and childish.Jay takeover fired single shot aimed at crews.Come again.Where did I get it wrong? And why do you consider Jay signing Nas as "joining" him?
Nas alimalza hapa kwa kumponda jamaa kuhusu illuminat
"You traded your soul for riches"allegations about illuminati ni so lame.hata kibongobongo ukifanikiwa utaskia huyu ni freemason.Nas had no facts.There is no way to prove that beyond reasonable doubt