Ninayo na kuna mambo sijapata majibu hukoNunua biblia kwa 15000 tu Ina majibu ya maswali yote ambayo unajiuliza,ambayo huulizwa,ambayo yataulizwa.
Zaid ya yote Ina kanuni ambazo ukiishi kwa viwango vyake utatambua uhitaji wako wa kiroho na hatimaye kuwa na furaha
Achana na maarifa mengine yanachosha tu akili
Sio kweli.narudia Tena biblia Ina majibu ya maswali yote kuhusiana na maisha.isome taratibu Huku ukiongozwa na roho takatifu.kila kitu kitajifunua chenyewe.Ninayo na kuna mambo sijapata majibu huko
Ninayo na kuna mambo sijapata majibu huko
Sio kweli.narudia Tena biblia Ina majibu ya maswali yote kuhusiana na maisha.isome taratibu Huku ukiongozwa na roho takatifu.kila kitu kitajifunua chenyewe.
Tumtafutie mtukufu copy moja.Kuna kitabu kinaitwa The art of getting along with people nadhani chaweza kukufaa katafute ni kizuri kuliko hicho.Mwandishi ni Cecil Osborne.Kimeandika vizuri mno