Hahaha! kumbe tunaona wengi,wanaanzaga hivihivi inabidi kujihami mapemaa.Eheeee eheeee
Huko kote sijapita mtu wangu!Ni mawazo tunayohitaji kukumbushana sometymz!Nianze hiyo huduma ya kufunda nini?Hehehehe!Kuhusu kuolewa mwenyewe yuko likizo kidogo angalia asikuuzie kesi akirudi!Dada Lizzy Ulikuwa kwenye Kitchen party ama kwenye kumfunda mwali wa kizaramo?, au umeshukia tu na ujumbe?, maana kwa wanawake wa "kisasa" ni vigumu sana kupata maneno kama hayo, ni ujumbe mzito sana ambao hata ukiuongea kwa wenzio wanaweza kukupinga
vipi umeolewa?
Sasa Uporotoo mbona unazozikataa ndo nahitaji msaada nazo??Kupika ndo napenda haswa..kwahiyo nikipika we na mtoto..tukimaliza kula unaosha vyombo!!Alafu embu mwache mshkaji..mbona we unamendea?!Thanks Liz,kuhusu topic mimi nilikataa kubebeshwa mtoto na kuosha vyombo lakini kila kitu kingine niko tayari kufanya nitapika kila usiku.
Kituko jadili topic kuolewa/kutoolewa ni irrelevant.
Ndo maana wanawasema sana..............Muko juuu!!Huko kote sijapita mtu wangu!Ni mawazo tunayohitaji kukumbushana sometymz!Nianze hiyo huduma ya kufunda nini?Hehehehe!Kuhusu kuolewa mwenyewe yuko likizo kidogo angalia asikuuzie kesi akirudi!
Hahaha..nafungua darasa kabisa Bigie na vyeti pia!Unataka kua msaidizi wangu?Ndo maana wanawasema sana..............Muko juuu!!
Wakati wengine wanaona tu kuwa ni kitchen party, wewe unaona kuna huduma ya kutoa pale.....na huduma inauzwa....yani upo ki-IMF na world bank zaidi. I concur with you......another opportunity.
Husninyo , nilijaribu kufanya haya mnayoyasema baada ya kuoa nilivuna kesi kubwa sana , baada ya kuachana nayo kwa sasa ni 10+ yrs tunaishi kwa furaha ,,,, so inategemea na perception ya mtu unayejaribu kumsaidia.Maneno mazuri ya busara na mafunzo.
Wababa wakishaoa wanajisahau sana na wakati kabla hawajaoa walikuwa wanajipikia, wanafua, wanaosha vyombo na kazi zote zinazomuhusu.
We TF unaona double double:suspicious:....si tunapanga mipango ya biashara bwana....mengine yanatamaniwa tu!!!
Hivi behind any "crappy" man kuna nini ?:shock:
MhTrue, I had previosly not long ago said the same thing https://www.jamiiforums.com/mahusia...e-is-a-wise-woman-kina-dada-its-up-2-u-3.html
Wadau mimi nakubaliana kabisa na usemi hapo juu (ukibahatika kupata mwenzako mwenye Busara) basi ni msingi mkubwa wa maendeleo Na Opposite pia ni kweli Kama mwenza hafai hata ufanyeje hautafika popote
Kwahiyo kina dada wenzetu . tuache kulaumu kwamba huyu jamaa yangu hafai huenda wewe ndio tatizo au hata kama ni yeye wewe unauwezo wa kumuweka katika mstari ulionyooka (athough uenda akawa hana shukrani akinyokewa akakutosa)
Kumbuka ingawa wanasema a Man is the HEAD of the Family . Lakini Pia wanasema Mwanamke ni Shingo na ana uwezo wa kumgeuza mwanaume.
Una mtaji unaoeleweka??
Posibly a very ANGRY WOMAN or NO ONE at all!