Behind the curtain: September 11

Hii ndo inaitwa utamu unakuja halafu unakata..

Obvious..jamaa alikuwa na maono yake sahihi kwa upande fulani japo walikengeuka baadhi ya maeneo
 
the bold huwa hunitag ila hakuna mshkaji anaekufeel km mimi!poa tu
Kam mimi tu mkuu mimi nanyapia nyapia kwa kusearch key word the bold kujua kama
Kuna updates anatusahau sana wapiga kura wake wa vijijini
 
Wikipedia si souce pekee ya kuaminika zipo taarifa nying sana ambazo si za kweli ndani ya Wikipedia

Na wenyewe Wikipedia taarifa zao wanazitoa ndani ya site mbalimbali ndio maana mwishoni kuna kitu kinaitwa References
 
The kuna taarifa kwamba Osama bin Laden alipewa mafunzo na Wamarekani na wakamtumia kupambana na Urusi, hii ina ukweli kiasi gani?
 
Wikipedia si souce pekee ya kuaminika zipo taarifa nying sana ambazo si za kweli ndani ya Wikipedia

Na wenyewe Wikipedia taarifa zao wanazitoa ndani ya site mbalimbali ndio maana mwishoni kuna kitu kinaitwa References
Lkn mkuu hilo la mjapani aliekufa kwenye ndege lipo kwenye vyombo mbalimbali vya habari. Hakuwa pilot kama anavyotuhadithia the bold, labda hii hadithi ya the bold iwe anatunga yeye mwwnyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…