Ndugu yangu ngoja nikueleweshe vizuri watu wengi tumekuwa tukiamini katika vitu viwili kuwa ndio chanzo pekee ya habari au taarifa tumekua tukiamini GOOGLE ndio maana kila kitu mtu anakimbilia Google bt tumeshindwa kujua Google ni search engine tu
Pili tumekuwa tukiamini WIKIPEDIA kama ndio sehemu ya kuverify taarifa au habari bt nataka kukwambia Wikipedia wanatoa taarifa kwenye site mbalimbali ndio maana kwa chini kabisa wanatoa References ya sehemu walipotoa taarifa zao wikipedia wamekuwa wakichukua taarifa zao nying kwenye vyombo au site za West
ambavyo vimekuwa vikilalamikiwa kupotosha habari au kupendelea ktk kutoa habari
Mfano ukiangalia ktk vita vya israel six days war June 5–10, 1967 hakuna sehemu yeyote waliosema juu ya mchago wa US,UK na France kwa Israel juu ya vita vile lakini walichangia sana juu ya vile vile tafuta
Kitabu cha General Steven Green wa US Army kitabu kinaitwa (The Six days war cha mwaka 1981)
Tafuta Gazeti la New York Times la Sep 21,1995
Tafuta video ya kikao cha UN cha Sep 1 ,1969
Tafuta mdaharo wa Wagombea urais wa US mwaka 1993
Vyote vinavyo ninaweza kukutumia popote duniani kama utaitaji so vyote vimeelezea vizuri ushiriki wa nchi za magharibi na US ktk vita vile upande wa ISRAEL lakini ukienda wikipedia huwezi kuta taarifa hzo
Sasa bhasi kuhusu kushiriki kwa Khalid Shaikh Mohammed(KSM) katika kile kijulikanacho kama Bojinka plot nchini Philippine alichoelezea
The bold ndio sawa kabisa kuelewa vizuri Tafuta kitabu cha The History of 9/11 kilichotoka mwaka 2005 kilichoandikwa na Amrullah Saleh aliyekuwa anafanya kazi Inter-Services Intelligence na ICA na yeye ndie aliyefanikisha kukamatwa kwa huyu KSM March 1, 2003 Rawalpindi , Pakistan
Bwana Amrullah ndie aliyepewa kazi ya kumfatilia KSM toka mwaka 1987 alipokwenda nchini Afghanistan so amekuwa akifatiliwa na huyu bwana Amrullah anamjua vizuri sana KSM
So ktk kitabu hicho ukurasa wa 102 bwana Amrullah anaelezea KSM na safari yake ya nchini Philippines mwaka 1991 ninamnukuu
" Khalid Shaikh Mohammed (KSM) first “earned his spurs” in al-Qaeda by serving as one of Osama bin Laden’s first bodyguards. Then, in 1991, bin Laden sends KSM to the Philippines where he trains members of the militant groups Abu Sayyaf and the Moro Islamic Liberation Front (MILF) in bomb making and assassination. He works with bin Laden’s brother-in-law Mohammed Jamal Khalifa to establish an operational base there and also in Malaysia.
Nadhani kwa kauli hyo unaweza kujua kuhusika kwa bwana Khalid Shaikh Mohammed (KSM) ktk tukio la Bojinka plot
Ktk ukurasa wa 105 anaelezea namnukuu
" he also works with his nephew Ramzi Yousef, who trains Abu Sayyaf militants the same year (see December 1991-May 1992). “After proving himself an outstanding organizer, [KSM] was given substantial operational authority and autonomy by bin Laden.”
Huyo bwana RAMZI YOUSEF ambayo hiyo Wikipedia ndo inamtambua kama mfanya tukio la Bojinka plot
Mm najua kwa nini bwana KSM amewekwa hapa lakini nataka kukwambia
The bold mpka sasa yuko vizuri hakuna kitu alichotunga hapa nafatilia kwa ukaribu story hii na pia
The bold source zake ni zakuaminika na makini najua hicho ndio maana nakwambia hvyo so kuwa na amani tuenjoy story