Behind the curtain: September 11

Shukrani sana..
Sikh njema kwako pia Mkuu!
 
Mkuu The Bold hongera kwa kuweza kuandaa makala kama hii ila nilikuwa na ombi moja, kama inawezekana mwisho wa makala zako uwe unaweka references ili kwa watakaohitaji kuingia ndani zaidi waweze kuwa na muongozo.
You're much appreciated mkuu
Shukrani Mkuu.. Will do that
 
A
Asant mkuu
 
The bold unahadithi vema hadithi kuna kitu najifunza kupitia kwako lakini heb naomba nikuuliza una fani gani kitaaluma
 
hii mbona ipo kwenye mitandao mingi tu sema labda kwa sababu ya lugha inawapa shida.uyu jamaa labda tumwite mkalimani
 
The bold unahadithi vema hadithi kuna kitu najifunza kupitia kwako lakini heb naomba nikuuliza una fani gani kitaaluma
Shukrani sana Mkuu..

Hahahah! Kitaaluma tutafahamiana huko mbeleni taratibu taratibu!!
 
hii mbona ipo kwenye mitandao mingi tu sema labda kwa sababu ya lugha inawapa shida.uyu jamaa labda tumwite mkalimani

Ha ha unataka kuleta vita wewe
"..I didn't come this far, just to come this far,
that's why ukinijia kwa lugha za ujuaji, nakujibu tu kishkaji,
huwezi kumuua chura kwa kumtupa ndani ya maji,
Duniani hakuna uchafu, uchafu unakuwa uchafu pale tu ukiutazama.!"



THINK.


Asanteni kwa kuja. Mbarikiwe..
 
hii mbona ipo kwenye mitandao mingi tu sema labda kwa sababu ya lugha inawapa shida.uyu jamaa labda tumwite mkalimani

Mkuu hili swala la 9/11 ni pana sana na lina mijadala mingi sana. Tutakuona mtu wa maana sana Kama na wewe utachukua muda wako ukatafsiri au hata usipo tafsiri mjadala mmoja tu unaohusu 9/11 then ukaanzisha uzi wako kuliko kuja hapa na hoja za kujidhalilisha.
 
hii mbona ipo kwenye mitandao mingi tu sema labda kwa sababu ya lugha inawapa shida.uyu jamaa labda tumwite mkalimani

Wewe mbona ujaanzisha thread umutafsirie bibi ako kule kolomije tatzo lako kuzaliwa njiti na kubemendwa pia kulelewa na bibi ndio kinachokusumbua mlamba vumbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…