Bei chee kabisa Nyumba (pagale) linauzwa Iringa mjini halafu lina kila kitu

Bei chee kabisa Nyumba (pagale) linauzwa Iringa mjini halafu lina kila kitu

Kig

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
1,076
Reaction score
458
Jamani kuna pagale (nyumba ambayo haijapauliwa) maeneo ya mtwivila, nje tu ya geti la chuo cha mkwawa iringa linauzwa. Limejengwa kwa tofali za kuchomwa, lina linta imara kabisa, kuta zote zimeisha, lina bedrooms 4, sebule 1 na jiko 1, shimo la choo limejengwa tayari, pia kuna eneo la kujenga parking. Chumba kimojawapo  kinaweza kutumika kama frem ya biashara maana dirisha lake lipo upande wa barabarani. Bomba la maji limepita mita 5 toka kwenye nyumba, umeme upo jirani kabisa wala huhitaji nguzo ya umeme ili kuingiza umeme ndani ya nyumba, barabara ipo na nyumba inafikika kwa gari ya aina yoyote hadi uwanjani. Bei ni million 10 tu. Lakini Maelewano yapo pia. Unaweza uni PM kwa maelezo maongezi zaidi
 
Jamani kuna pagale (nyumba ambayo haijapauliwa) maeneo ya mtwivila, nje tu ya geti la chuo cha mkwawa iringa linauzwa. Limejengwa kwa tofali za kuchomwa, lina linta imara kabisa, kuta zote zimeisha, lina bedrooms 4, sebule 1 na jiko 1, shimo la choo limejengwa tayari, pia kuna eneo la kujenga parking. Chumba kimojawapo--kinaweza kutumika kama frem ya biashara maana dirisha lake lipo upande wa barabarani. Bomba la maji limepita mita 5 toka kwenye nyumba, umeme upo jirani kabisa wala huhitaji nguzo ya umeme ili kuingiza umeme ndani ya nyumba, barabara ipo na nyumba inafikika kwa gari ya aina yoyote hadi uwanjani. Bei ni million 10 tu. Lakini Maelewano yapo pia. Unaweza uni PM kwa maelezo maongezi zaidi

Weka namba zako za simu!
 
Chee naogopa bora rahisi. Oooooh vya che utalipasikumoja garamazake
 
Kweli ni chee! lakini hati miliki muhimu uwe nayo kwa usalama wa mnunuzi.
 
eneo limepimwa? Je una hati au offer?

eneo halijapimwa. Lakini ramani za manispaa zinaonyesha halina matumizi mengine zaidi ya makazi ya watu. Unaweza kuwaita watu wa ardhi wa kupimie na ukapata hati yako vizuri kabisa
 
Limeshauzwa tayari. Tafahali usijisumbue kuulizia
Asante Jamii Forum
 
Back
Top Bottom