Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Waziri wa Nishati, Dkt. Kalemani amefanya ziara kisiwa cha Maisome Mwanza na kuagiza kampuni binafsi inayosambaza Umeme katika kisiwa hicho kutoza bei elekezi ya Serikali ya Umeme Vijijini ya Tsh 100 kwa unit moja badala ya Tsh 2,000/- mpaka 3,700/- iliyokuwa ikitozwa.
My Take:
Inaonekana kama Serikali ilikuwa haijui hizi bei zinatozwa huku. Je Serikali ilikuwa haijui?
Tujiulize hii Kampuni ilikuwa hailipi kodi kutokana na hayo malipo?
Serikali haikubariki hizi bei kwa kupokea kodi inayotokana na malipo makubwa?, Na kama Haikubariki imeichukulia hatua gani hii kampuni maana kutakuwa na ukwepaji kodi hapo au kukiukwa kwa masharti ya mkataba?
My Take:
Inaonekana kama Serikali ilikuwa haijui hizi bei zinatozwa huku. Je Serikali ilikuwa haijui?
Tujiulize hii Kampuni ilikuwa hailipi kodi kutokana na hayo malipo?
Serikali haikubariki hizi bei kwa kupokea kodi inayotokana na malipo makubwa?, Na kama Haikubariki imeichukulia hatua gani hii kampuni maana kutakuwa na ukwepaji kodi hapo au kukiukwa kwa masharti ya mkataba?